Hongera BAWACHA kwa kuhamasisha wanawake wengi kugombea majimboni, UWT wajifunze kwenu

Hongera BAWACHA kwa kuhamasisha wanawake wengi kugombea majimboni, UWT wajifunze kwenu

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Baraza la Wanawake CHADEMA chini ya Mwenyekiti wake Halima Mdee sauti ya zege, limeweza kuhamasisha wanawake vijana wengi kugombea majimboni.

Taarifa zinasema zaidi ya wanawake 60 wameteuliwa kugombea kwenye majimbo huku CCM ikiweka wanawake 12 tu majority wanangojea viti maalumu, Hongera Ummy Mwalimu hongera Tulia Ackson.

Hawa ni baadhi tu ya wagombea ubunge wanawake kupitia Chadema, tuwape ushirikiano ili kupunguza kama si kuondoa mifumo dume kwenye taasisi zetu.

TUPIA PICHA YA MGOMBEA MWANAMKE ANAYEWAKILSHA JIMBO

A1642AD6-EDB5-4699-81E3-438E6D45365A.jpeg


6B916081-B98A-45CD-9024-C34AF98BD1E6.jpeg
7A880CE5-7AC4-432D-8969-5E53E9B6C5E2.jpeg
11E1F0F4-5F46-44CC-BCB2-755FCFD9070D.jpeg
1D15B8A5-3702-4DE3-A3A8-F22614E36441.jpeg
075850C1-9DC0-4C2F-8220-59DCBB980290.jpeg
91C069FE-0530-4209-B84A-A9F0FDF87E81.jpeg
D3B245F8-A279-4853-97B8-9AC689C68DBB.jpeg
F2165543-6C6F-4E29-982E-366F427EDA45.jpeg
408D98A4-26B0-4ECC-9F0E-66B2896A317E.jpeg
 
Ila wanawake wa Chadema hawaakisi maadili ya kutanzania,
 
Nitakuwa mnyimi wa fadhila nisipompongeza Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Halima Mdee sauti ya zege, kwa kuhamasisha wanawake vijana wengi wa chama chake kugombea majimboni, hii imekujengea heshima si tu kwa chama chako bali kwa wanawake wote wa Tanzania.

Umoja wa Wanawake Tanzania UWT ni Jumuia ya wanawake wa CCM yenye uzoefu mkubwa inakwama wapi, nasikia ni wanawake 12 tu wa CCM ndio waliojitokeza kugombea majimboni majority wanangojea viti maalumu, Hongera Ummy Mwalimu hongera Tulia Ackson.

Hawa ni baadhi tu ya wagombea ubunge wanawake kupitia Chadema, tu wape ushirikiano ili kupunguza kama si kuondoa mifumo dume kwenye taasisi zetu.
View attachment 1567296

View attachment 1567271View attachment 1567272View attachment 1567273View attachment 1567274View attachment 1567275View attachment 1567276View attachment 1567277View attachment 1567278View attachment 1567279
Inaonyesha ni jinsi gani walivyo nakiu ya Uhuru,haki na maendeleo ya kweli.
 
Umetaja idadi ya wagombea wa CCM, taja na hiyo ya CDM ili tufanye comparison.
 
Chadema wanahitaji pongezi za hali ya juu kwa kuwapa fursa Wanawake
 
Umetaja idadi ya wagombea wa CCM, taja na hiyo ya CDM ili tufanye comparison.
So far ni 70+ ni rekodi tokea uhuru wa nchi hii. Dar pekee 60% ya majimbo ni wanawake.

Hta waliokimbilia CCM wanaume pekee ila wanawake hadi viti maalum 90% wamekua loyal mpka leo hawajakimbia mapambano.

Ni mfano wa kuigwa kwakweli. From a neutral point of view
 
Baraza la Wanawake CHADEMA chini ya Mwenyekiti wake Halima Mdee sauti ya zege, limeweza kuhamasisha wanawake vijana wengi kugombea majimboni.

Taarifa zinasema zaidi ya wanawake 60 wameteuliwa kugombea kwenye majimbo huku CCM ikiweka wanawake 12 tu majority wanangojea viti maalumu, Hongera Ummy Mwalimu hongera Tulia Ackson.

Hawa ni baadhi tu ya wagombea ubunge wanawake kupitia Chadema, tuwape ushirikiano ili kupunguza kama si kuondoa mifumo dume kwenye taasisi zetu.

TUPIA PICHA YA MGOMBEA MWANAMKE ANAYEWAKILSHA JIMBO

View attachment 1567340

View attachment 1567271View attachment 1567272View attachment 1567273View attachment 1567274View attachment 1567275View attachment 1567276View attachment 1567277View attachment 1567278View attachment 1567279
Duh!
 
Wanawake wanadharauliwa sana na CCM kazi yao ni kuongeza vichwa tu
Na kuulizwa kama wana maji au ni wakavu
WakatI mwingi tunajiaminisha mambo au sifa bila tafakari ya kutosha.

Sifa na uwezo ( qualities and capacity) wa kugombea majimbo ya CCM ni mkubwa sana, kama Chadema tungekuwa na matakwa hayo sidhani hata wagombea 10 wa Ubunge wanawake wangepatikana.
 
Back
Top Bottom