Inaonyesha ni jinsi gani walivyo nakiu ya Uhuru,haki na maendeleo ya kweli.Nitakuwa mnyimi wa fadhila nisipompongeza Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Halima Mdee sauti ya zege, kwa kuhamasisha wanawake vijana wengi wa chama chake kugombea majimboni, hii imekujengea heshima si tu kwa chama chako bali kwa wanawake wote wa Tanzania.
Umoja wa Wanawake Tanzania UWT ni Jumuia ya wanawake wa CCM yenye uzoefu mkubwa inakwama wapi, nasikia ni wanawake 12 tu wa CCM ndio waliojitokeza kugombea majimboni majority wanangojea viti maalumu, Hongera Ummy Mwalimu hongera Tulia Ackson.
Hawa ni baadhi tu ya wagombea ubunge wanawake kupitia Chadema, tu wape ushirikiano ili kupunguza kama si kuondoa mifumo dume kwenye taasisi zetu.
View attachment 1567296
View attachment 1567271View attachment 1567272View attachment 1567273View attachment 1567274View attachment 1567275View attachment 1567276View attachment 1567277View attachment 1567278View attachment 1567279
Lete ushahidi kama huna acha poyoyo!Mbowe anafaidi ving,ndio maana hataki kuachia kiti
Wanawake wanadharauliwa sana na CCM kazi yao ni kuongeza vichwa tu
Na kuulizwa kama wa maji au ni wakavu
Lete ushahidi kama huna acha poyoyo!
So far ni 70+ ni rekodi tokea uhuru wa nchi hii. Dar pekee 60% ya majimbo ni wanawake.Umetaja idadi ya wagombea wa CCM, taja na hiyo ya CDM ili tufanye comparison.
Ulisomea wapi urudipo ujifunze tena kuandika.Ila wanawake wa Chadema hawaakisi maadili ya kutanzania,
Kawe Alumni,View attachment 1567338 tunaenda kuongeza vichwa lissu asiaibike
Duh!Baraza la Wanawake CHADEMA chini ya Mwenyekiti wake Halima Mdee sauti ya zege, limeweza kuhamasisha wanawake vijana wengi kugombea majimboni.
Taarifa zinasema zaidi ya wanawake 60 wameteuliwa kugombea kwenye majimbo huku CCM ikiweka wanawake 12 tu majority wanangojea viti maalumu, Hongera Ummy Mwalimu hongera Tulia Ackson.
Hawa ni baadhi tu ya wagombea ubunge wanawake kupitia Chadema, tuwape ushirikiano ili kupunguza kama si kuondoa mifumo dume kwenye taasisi zetu.
TUPIA PICHA YA MGOMBEA MWANAMKE ANAYEWAKILSHA JIMBO
View attachment 1567340
View attachment 1567271View attachment 1567272View attachment 1567273View attachment 1567274View attachment 1567275View attachment 1567276View attachment 1567277View attachment 1567278View attachment 1567279
WakatI mwingi tunajiaminisha mambo au sifa bila tafakari ya kutosha.Wanawake wanadharauliwa sana na CCM kazi yao ni kuongeza vichwa tu
Na kuulizwa kama wana maji au ni wakavu