Chukueni tahadhari! Niliwahi kupewa card ya bank , gold card ! Kumbe mlemle ndani kuna mjuaji naye ana card nyingine ya namna hiyohiyo gold card!Mojawapo ya taasisi nchini inayofanya vizuri kutokana na uongozi ni CRDB tokea ilipoanzishwa imekuwa na mafanikio makubwa na haswa kipindi ikiwa chini ya uongozi wa ndg kimei hadi Sasa ikiwa chini ya ndg Nsekeka.
Hii ni changamoto kwa taasisi nyingine katika sekta za kuhudumia wananchi ziige hii ya CRDB. Sina haja ya kutaja hizo taasisi wengi tunazijua na wenyewe wanajijua.
Hongera CRDB
Hao wateja wenyewe siku hizi wanapukutika tu! Benki imejaa makato ya hovyo hovyo!! Habari ya mjini kwa sasa ni Equity Bank. Hakuna makato kwa mwezi! Na wanatoa mzigo mkubwa kuliko hao CRDB!Wameshakua na wateja wengi sana, kwa hio wanaringa, nimewahama mwezi uliopita
Nimekuelewa baba fulani wasalimi chako ni chakoHao wateja wenyewe siku hizi wanapukutika tu! Benki imejaa makato ya hovyo hovyo!! Habari ya mjini kwa sasa ni Equity Bank. Hakuna makato kwa mwezi! Na wanatoa mzigo mkubwa kuliko hao CRDB!
Ni kweliHao wateja wenyewe siku hizi wanapukutika tu! Benki imejaa makato ya hovyo hovyo!! Habari ya mjini kwa sasa ni Equity Bank. Hakuna makato kwa mwezi! Na wanatoa mzigo mkubwa kuliko hao CRDB!
UMEHAIDIWA SHS NGAPI?Mojawapo ya taasisi nchini inayofanya vizuri kutokana na uongozi ni CRDB tokea ilipoanzishwa imekuwa na mafanikio makubwa na haswa kipindi ikiwa chini ya uongozi wa ndg kimei hadi Sasa ikiwa chini ya ndg Nsekeka.
Hii ni changamoto kwa taasisi nyingine katika sekta za kuhudumia wananchi ziige hii ya CRDB. Sina haja ya kutaja hizo taasisi wengi tunazijua na wenyewe wanajijua.
Hongera CRDB