Hongera Bill Nass na Nandy kwa kufunga ndoa

Hongera Bill Nass na Nandy kwa kufunga ndoa

amadala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
4,265
Reaction score
12,268
Hongereni Bill Nass na Nandy kwa kufanya maamuzi mazuri, ndoa yenu ikawe ya heri na baraka.

Hongereni tena kwa kuwa mfano kwa wasanii wenzenu kuwa inawezekana mkinia jambo lenu.

Hakika mnatoka kwenye familia zenye misingi ya malezi ndio maana leo mmekula kiapo. Kongolee once again ๐Ÿ’‹
 
ana kalibishwa na kitimoto ndio chakula pendwa
IMG_8382.jpg
 
Hongereni Bill Bass na Nandy kwa kufanya maamuzi mazuri, ndoa yenu ikawe ya heri na baraka.

Hongereni Tena kwa kuwa mfano kwa wasanii wenzenu kuwa inawezekana mkinia jambo lenu.

Hakika mnatoka kwenye familia zenye misingi ya malezi ndio maana Leo mmekula kiapo. Kongolee once again ๐Ÿ’‹
View attachment 2292811
Nandi ndio anaoa.
 
Hongereni Bill Bass na Nandy kwa kufanya maamuzi mazuri, ndoa yenu ikawe ya heri na baraka.

Hongereni Tena kwa kuwa mfano kwa wasanii wenzenu kuwa inawezekana mkinia jambo lenu.

Hakika mnatoka kwenye familia zenye misingi ya malezi ndio maana Leo mmekula kiapo. Kongolee once again ๐Ÿ’‹
View attachment 2292811

Wale wanao kula nauli wacha waendelee kula nauli
 
Mwenye ile connection ya billnass na nandy katika mchupi wa ilala naomba pm
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜€
Utaharibu Shughuli Mkuu
 
Back
Top Bottom