Hongera Chid Benz kwa ujio mpya zingatia haya ili usirudi ulipotoka, asante Diamond na AY

Kabaki kichwa kwa kweli ila ukichokoza hapo hautaamini kama ni mteja jinsi watu walivyobalikiwa mkono wa ajabu,utaelewa kwa nini wanamuita chuma cha reli nondo.

Ila kwa kala p alikaa
 
Hahaha Matumbo bana najua ana nguvu ryt but mwili unapotea ameanza kuwa na Muonekano wa kiteja too bad.. Chidi anapendeza sana akiwa mnene

kwa kweli anaskitisha sana huruma inanijia japo alikuwa mzinguaji mchiz....Naona Ambwene,dangote na dully wamepigana sana kumrudisha hadi wanambeba kwa nguvu aende studio gharama wanabeba wao mpaka za vichupa nini sidhani yeye kama angemfanyia hivi mtu aliyepotea.
 

Yeah kweli wameona jamaa amepotea bora wamrudishe kwenye gem ana sauti nzuri na nyimbo zake ni kali tu sema aache poda kama kweli anatumia. Ile Dar Standup hadi leo ikipigwa mzuka lazima upande tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…