Beauty Eva
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 131
- 374
Ni SheriaHongera sana dada, hata Mungu kakutunukia shahada ya ........ btw hiyo shahada ya chuo ni katika fani gani?
Mwanasheria mcute kweli huyo hongera zake mwaya!Ni Sheria
Dah!!!! nailaani bodi ya mkopo ona sasa mtoto ka uyo bila hela ulambi kitu yani but congratulation to her kwa kupata degree bana.Japo Shahada ni kitu cha kawaida siku hizi, sina budi kukupa hongera na pongezi tele dada yangu mpenzi.
HONGERA SANA. nisaidieni kumu-wish dada yetu. View attachment 438946
Aweke na picha yakeJuzi tulikuwa tunam wish yule dadako mwingine birthday njema..
Wa leo ni happy shahada..
Teh teh.
Na ya kwako usisahau kutuwekea pia tuku wish hicho utakachopata.