Umeamua kumtangaza huyu Dada kama wrote Wa shahada wakija humu na pongezi si zitajaa na shahada itakuwa kama cheti cha primary,jifunze
Halafu wewe baby nishakutafutia substitute ujue eeh..Aweke na picha yake
Unajua nimechoka kukufuta machozi utendwapo, nafikiri ni wakati wa kutulizana na Mungu mapenzi niwaachie wenyewe...kila la kheri japo nakupenda sanaHalafu wewe baby nishakutafutia substitute ujue eeh..
Natafuta siku nikutambulishe mume mwenzio... Teh