Uchaguzi 2020 Hongera Devota Minja lakini kwa mwenendo wa Mkurugenzi Morogoro manispaa, jiandae kupigana "vita" utangazwe

Uchaguzi 2020 Hongera Devota Minja lakini kwa mwenendo wa Mkurugenzi Morogoro manispaa, jiandae kupigana "vita" utangazwe

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Ni habari njema umerudishwa baada ya kuenguliwa kihuni. Utashinda ubunge na wala mabasi ya kupeleka watu misibani anayotoa Abood si hoja kwa wana Moro.

Hofu yangu ni kuwa utashinda lakini kwa mwenendo wa mkurugenzi wa Moro manispaa, hatakutangaza. Panga "majeshi" kabisa maana hatakutangaza. Kama alidiriki kufanya ushenzi alioufanya, kukutangaza kutahitaji "vita"!

Muhimu zaidi usalama wako kuanzia jana mpaka 28/10 upe kipaumbele!
 
Minja hautaki ubunge mnamlazimisha tu, hela ya kampeni kama chama mmempa?
Mchaga anasema hawezi kutumia mafao yake kwa jambo asilo na uhakika nalo
Chadema imeamuru wagombea wapambane na hali zao kwa kila kitu,ni wachache sana wanaojitutumua na bada ya uchaguzi watakua na hali mbaya sana
 
Minja hautaki ubunge mnamlazimisha tu,hela ya kampeni kama chama mmempa?
Mchaga anasema hawezi kutumia mafao yake kwa jambo asilo na uhakika nalo
Chadema imeamuru wagombea wapambane na hali zao kwa kila kitu,ni wachache sana wanaojitutumua na bada ya uchaguzi watakua na hali mbaya sana
Wabaguzi wakubwa nyie.
 
Nimekupa kazi.
Nimekupa gari nzuri.
Nakupa posho
Nakupa Nyumba
Nakupa Mshahara.
Unakwenda Kumtangaza Mpinzani??????!!

Alafu utasikia anasema "maendeleo hayana vyama".

Dikteta uchwara.
 
MINJA morogoro @uruguru....CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO.
CHADEMA IN BLOOD VESSELS
FB_IMG_1600068789787.jpg
 
Back
Top Bottom