Hamna kitu kama hicho hata hajamentioniwa hiyo jana wamepewa wawili tu za heshima
Sorry wanajukwaa niko Namtumbo ndanindani huku sielewi mambo yanayotokea mjini, niliambiwa na rafiki yangu ambaye yuko daslam kwamba tar 8 Nov (jana) msanii wetu maarufu aliyeimba kitorondo atatunukiwa shahada ya uzamivu kwenye mahafali ya chuo kikuu cha dar es salaam, naomba mniwekee picha za dr wetu akiwa na joho tafadhali
Kapewa bwana rafiki yangu hawezi kunidanganya namuaminia sanaa, au nawewe uko Namtumbo?
Rafiki yangu kanitumia mda si mrefu picha hii ya Dr. Platnumz kupitia wasap haya sasa bisha
View attachment 200577
Rafiki yangu kanitumia mda si mrefu picha hii ya Dr. Platnumz kupitia wasap haya sasa bisha
View attachment 200577
Rafiki yangu kanitumia mda si mrefu picha hii ya Dr. Platnumz kupitia wasap haya sasa bisha
View attachment 200577
ππ photoshop photo... hakuna ukweli wowote hapo nabisha hadi mwakani