Hongera dominic mosha kwa kuachana na ukapera;mungu mkubwa kweli

Congrats, all the best of luck.
 
Guys nimeibuka bwana....

Ahsanteni sana kwa wishes zenu. Mungu awabariki sana. Shy(TM) wapi siku hizi?
Domy,

Nilikuwa sijui kama na wewe pia ni celebrity. Hongera kaka!
 
Itabidi kwanza kuwekwe preamble kwenye thread kuainisha selebriti ni nani. Vinginevyo basi kila mtu ni selebriti ati.

Domy,

Nilikuwa sijui kama na wewe pia ni celebrity. Hongera kaka!




HONGERA SAAAAANA KAKA DOMMY,

Sie kule Moshi hata mtu anayechoma nyama au kutengeneza mtori vizuri ni celebrity bana, Msuasi mzuri wa nywele za kimasai, maji ya moto nk nae celebrity, dereva anayeendesha kasi kawa wale wa "Buffalo" au Ngolika kadhalika huwezi kutomwita celebrity kama hata MC Lema was CELEBRITY!
 
kaamua kuachaana na kukamua kamua ovyo wacha amkamulie anaempenda sio majambazi safi kijana umenifurahisha

sentensi hii imekaa kama mtu anapigwa dongo laini.
naona ni mambo ya waarabu wa pemba wajuana kwa viremba haya.
 

Dominic,hii falsafa ya 'shake well before using' imekukumba na wewe.......i hope hiyo siyo sababu ya kuoa.

I wish you a happy married life.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…