DSE inatakiwa ianzishe DSE App kama walivyo majirani zetu kenya (NSE App) ili kuwawezesha wawekezaji waweze kupata taarifa kwa haraka na kurahishia kufasha shughuli za uwekezaji kupitia simu, halafu ijitahidi katika kutoa taarifa sahihi na kwa haraka katika website yao.