vumbi limekujaje hapa,au ulikuwa unamaanisha DUSK!!!!!Pole sana Eddie, ur now in prison no more hanging out from sun to dust!
vumbi limekujaje hapa,au ulikuwa unamaanisha DUSK!!!!!
duh......i must be getting very old hehehehe...yaani ni kama juzi tu he was a kid.....anyways....Hongera EddyAliekuwa mtangazaji wa kipindi cha watoto cha ITV, Eddy Sultan amevuta jiko home kwake na bibie aliyevutwa ndo huyooooo mwenye red..
http://weddingbomba.blogspot.com/2009/08/hongera-eddie-sultani.html
mh! watoto wanakua mara hii kaoa
Hii kali jamani, wadada hebu acheni watoto wa watu wakomae kwanza lo! akianza kwenda disko kila siku na kujirusha na vibinti dot com size yake huyo bibie ataanza kulialia kumbe ni stage ambayo lazima aipitie,, matokeo yake ndoa inavunjika.
Masanilo-Hivi yupi mkubwa hapa? I mean nani kamuoa nani?
Hivi ni kweli Ndoa haina umri?
Msaada jamani maana dogo naona umri bado huyo shemeji mmmh amekwenda age kidogo akishusha single 1 tu wataanza kukimbiana nyumbani tuombee Mungu kama kweli dogo amezimia mambo ya Kitanga na si kingineko.
Naye atapata wasaidizi tit for tat...
Mkubwa umenijibu swali langu kumbe mawazo yetu yanashabiiana!!! bibie kama size yangu.... teh!