Hongera FastJet kwa kuanza malipo ya ticket kwa M- Mpesa

Hongera FastJet kwa kuanza malipo ya ticket kwa M- Mpesa

Sungurampole

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2007
Posts
984
Reaction score
205
Ilikuwa inasumbua kuwa unaweza kufanya booking online lakini kulipa mpaka usafiri kwenda physically ofisi kwenu- mfano ukiwa Rombo unabidi kwenda hadi KIA ndiyo uweze kulipia tiketi jambo ambalo linafanya maana nzima ya kuwa na online booking kukosa maana. Nimesoma jana katika gazeti kuwa sasa wateja wenu wataweza kulipia kwa M-Pesa - Big up!
 
And many more to come!
Mobile money a new era to the world of transactions.
 
This has been long overdue, Its about time
 
Kwa nini wasipige hatua mbele zaidi na kuanza kukubali malipo kupitia credit cards? Hiyo ya kulipia kupitia M-pesa naona kama bado ina usumbufu wa aina fulani kwani kuweza kufanya hivyo lazima kwanza uwe na pesa kwenye simu!!!

Tiba
 
Kwa nini wasipige hatua mbele zaidi na kuanza kukubali malipo kupitia credit cards? Hiyo ya kulipia kupitia M-pesa naona kama bado ina usumbufu wa aina fulani kwani kuweza kufanya hivyo lazima kwanza uwe na pesa kwenye simu!!!

Tiba
hivi na kwenye credit cards haina haja ya kuwa na hela!!?
 
Kwa nini wasipige hatua mbele zaidi na kuanza kukubali malipo kupitia credit cards? Hiyo ya kulipia kupitia M-pesa naona kama bado ina usumbufu wa aina fulani kwani kuweza kufanya hivyo lazima kwanza uwe na pesa kwenye simu!!!

Tiba

Kweli kumridhisha binadamu yataka moyo
 
hivi na kwenye credit cards haina haja ya kuwa na hela!!?

How much money do you keep in your mobile phone? Credit cards are linked to the main bank account where we keep a good amount of money. Is n't it?

Tiba
 
How much money do you keep in your mobile phone? Credit cards are linked to the main bank account where we keep a good amount of money. Is n't it?

Tiba
so interesting, does it mean all bank account owners have enough balance in their account!? ...experiencing my own bank account sir
 
so interesting, does it mean all bank account owners have enough balance in their account!? ...experiencing my own bank account sir

If this is the case, then you will not have enough balance to transfer to your phone as well, hence you can not even travel by planes? Lets face the reality!!!! I beg not to continue with this arguement, if possible.

Tiba
 
If this is the case, then you will not have enough balance to transfer to your phone as well, hence you can not even travel by planes? Lets face the reality!!!! I beg not to continue with this arguement, if possible.

Tiba
not sure if you're serious or not!
hivi unajua hii kampuni kuwa strategy yao ni kuwawezesha wasafiri (sio tu matajiri) kusafiri.
hivi unajua kuwa nauli ya Dar Express ARS-DAR inakaribia 40,000/- wakati wenyewe wanasema 32,000+
Unajua kwenda Mwanza na basi inakaribia 50,000/- wakati wao wanasema 32,000+

katika hali ya kawaida ukisema 50,000 ya basi na 170,000 ya ndege still zote ni pesa and someone has to work for it. And people nowadays need convenience in living that is why some are keeping money in their pillows and not banks



 
Back
Top Bottom