Hongera Harmonize amekuwa msanii wa pili bongo kufikisha viewers 10,000,000 katika youtube account

homboyz

Senior Member
Joined
Oct 19, 2016
Posts
127
Reaction score
139
Nyimbo ya bado ya harmonize imemuwezesha kuwa mtanzania wa pili kufikisha watazamaji million 10 kwa video moja katika akaunti yake ya YouTube

 
Nyimbo ya bado ya harmonize imemuwezesha kuwa mtanzania wa pili kufikisha watazamaji million 10 kwa video moja katika akaunti yake ya YouTube
Hivi si anatoka kwa wale wale wanaotuhumiwa kununua views
 
Acha uongo sio wa pil nahs n wa tatu kumbka wimbo wa shaaa mpka sa hv anakarbia viewers mil30
Wimbo wa shaa title yake wamei- exaggerate sana, bila kuinusisha hiyo video na mambo ya kierotica sidhani kama ingekua na viewers wengi
 
Hivi kuwa na viewers wengi YouTube msanii analipwa ?
 
Anafatia raymond kisha mavoko. Sijui lini akina darasa watafika huko
 
Katakuwa kamefundishwa kununua views haka kamakonde
 
Nyimbo ya bado ya harmonize imemuwezesha kuwa mtanzania wa pili kufikisha watazamaji million 10 kwa video moja katika akaunti yake ya YouTube

Atalipwa na Google kwa kufikisha hiyo idadi? na mimi nitoe video yangu!
 
Nyimbo ya bado ya harmonize imemuwezesha kuwa mtanzania wa pili kufikisha watazamaji million 10 kwa video moja katika akaunti yake ya YouTube

Kwa hiyo atalipwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…