algorithim
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 878
- 909
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Linyumbu lile subiri maandamano yapite hasira zote tunammaliziaaa
Anashangaza kweli kumshobokea bashiteNimempenda bure bure.
Shida ya mastaa wengi wanapenda kunyenyekea na kutumiwa kama toilet paper. Kama linyumbu
Kilalaheri,mi ntakuja kuwaunga mkono j3Ndio naandamana kabisa nishaanda na quran yangu
Acha uogaBiashara yake ya viatu soon itafungiwa....Hiiiii
Anatakiwa anyooshwe ili akili imkae sawaLinyumbu lile subiri maandamano yapite hasira zote tunammaliziaaa
Nilitaka kuuliza hvyo hvyo?Amejiamini nini?
Hahahhahha huo si ndo utaratibu wao...Acha uoga
Haya ndo watu wanayapigania. Yaan kuongea yaliyopo moyoni na yenyeukweli imekuwa sikuhizi nongwa...eti '' anajiamini nini'' yaani Uhuru wa maoni unapotea vivihiviAmejiamini nini?
Zama zao zinakaribia kufika mwisho so usiogopeHahahhahha huo si ndo utaratibu wao...
Idris has earned my respectIdris has gained my respect.
HahahahahahahhZama zao zinakaribia kufika mwisho so usiogope
Anashangaza kweli kumshobokea bashite
muda ukifika utaelewa KWANINI KINYESI CHA MBWA SIO MBOLEAtone la damu bahalin aliwez badil rangi ya maji ya bahal