nadhani tumekosa kumbukumbu hivi mnakumbuka humu humu ndani ya jamvi mliwahi kulalamikia mkutano mmoja wa dk slaa coverage ilikuwa ya kinafiki kwa kutoonysha waliohudhuria na badala yake kumuonyesha mgombea pekee na baadaye kuisifia itv,je mnakumbuka coverage ya slaa kupokelewa kwao karatu ilirusha na itv tu ? kwa mimi ambaye naangalia itv kila siku si kweli itv imebadilika bali tangu kampeni zinaanza imekuwa ikitoa air time sawa kwa wagombea,jk yuko na mwandishi vedasto msungu na slaa yuko na ufoo salo huku lipumba akifanyiwa kazi na waandishi wao walioko mikoani,habari ndiyo hiyo