Hongera JK kwa kututoa katika Umaskini duniani! ila bado ....


Mbona unang'ang'aniza watu tumpongeze? Kama unataka si utafute baiskeli uendeshe kama yule msukuma baada ya uchaguzi ukampongeze?
 
Mkuu hayo ya Wabrazil kuja kutusaidia kwenye masuala ya umeme nyingi ni polojo tu, ukiritimba uliyojaa katika nchi yetu na rushwa umevisahau?. Alafu masuala ya kusema Per capita Income ya mtanzania imepanda kulinganisha na ile ya miaka ya 80s ni irrelevant katika maisha ya Mtanzania. Huoni $380 kwa miaka ya 80s ilikuwa na purchasing power zaidi ya $1400 ya sasa? Na hauoni maisha ya sasa ndo yanazidi kuwa magumu zaidi ya hayo ya miaka ya late '80s na '90s kwa mtanzania wa kawaida japo hizo statistics zinaonyesha GDP per capita imepanda? Hata economics inatuambia GDP per capita is not a reflection of peoples' real lives in terms of purchasing power and standard of living. Je hizostatics figures kwako zina umuhimu kuliko maisha halisia ya mtanzania?
 

This is why GDP has continued to be used by OECD, World Bank, IMF and other leading economist in the world as metric of measuring wealth being of individuals. Despite its criticism on data quality and time as well as posibility of revision on the data due to realiability issues but it remain a strong indicator of economic sucess.
 
Acha pumba, GDP gani imeongezeka., umasikini ndo kwanza unaota mizizi Tanzania.
 
Mbona unang'ang'aniza watu tumpongeze? Kama unataka si utafute baiskeli uendeshe kama yule msukuma baada ya uchaguzi ukampongeze?

Mkuu,

Nimempongeza binafsi na yeyote atakayeona anafaa kupongezwa. Ikiwa unaona hafai kupongezwa unaweza kuwa kimya. Sina haja ya kwenda kumuona kwani figures na statistics zipo na zinajionyesha zenyewe atapongezwa tu na economists watakaona anafaa kupongezwa. Ila mkuu kama una wivu na hilo pole. It is his success and he deserve it kama hupendi pole sana.
 
Acha pumba, GDP gani imeongezeka., umasikini ndo kwanza unaota mizizi Tanzania.

Kama hamfanyi kazi unafikiri umaskini utaondoka? Vijana kila siku wanaamka kutafuta wapi wakaimbe bongo flava wapate 20,000 ya kwenda kupatakilaji usiku it is time watu waamke kufanya kitu productive with their lives. Elimu yetu inaporomoka kila siku thanks to miundo mbinu mibovu ya serikali na mwamko mbovu wetu katika elimu. Vijana wetu wasome elimu za watu wazima, wajishughulishe na shughuli zenye kuwaletea maendeleo wao na taifa. Serikali yetu ina matatizo na sisi pia tuna matatizo yetu acha pumba ndugu.
 
Unaishi TZ? AU NI MTANZANIA UNAYEISHI MAREKANI? HAIWEZIKANI MTANZANIA ANAYEISH TANZANIA AKAANDIKA UPUMBAVU HUU.
 
Qatar, a country of fewer than 2 million people set on a peninsula smaller than Connecticut, seems an unlikely candidate to become a regional power. Yet with little fanfare and less warning, tiny Qatar has emerged as one of the Middle East's most influential states.
As the U.S. struggles to understand and predict the new contours of the region, it would be wise to pursue even closer ties to this regional maverick.
Even with its demographic and geographic limits, Qatar has several assets that turn out to be in short supply elsewhere in the Middle East and to be of strategic value, given the tumult in the region.
First, it is home to al-Jazeera, the Arabic-language news network that has transformed how Arabs get their news. Many give the television channel more credit for spurring on the Arab Spring than Facebook or Twitter. By bringing the revolutions into the homes of every Arab, al-Jazeera drew regional attention to early events in Tunisia and helped boost the number of Egyptians on the streets from the thousands to the hundreds of thousands. Al-Jazeera gives Qatar "soft power" well beyond its size.

Second, Qatar has resources. Last month, the International Monetary Fund released data demonstrating that Qatar is the richest country in the world. With a per-capita income of more than $88,000, Qatar's citizens are better off than those of Luxembourg and are almost twice as rich as those of the U.S. This wealth -- and the annual growth rate of 16 percent that goes with it -- is a reflection of Qatar's vast riches.

Qatar's natural-gas reserves of more than 900 trillion cubic feet are the third-largest in the world, and the country is reaping the benefits of an ambitious program to monetize those resources. Estimates suggest earnings from its liquefied natural-gas in 2011 will increase by more than 50 percent from last year.

Finally, Qatar has comparatively uncomplicated politics, a rarity in the Middle East today. The country is run by Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani, an emir who, in his late 50s, is decades younger than his counterparts in the gulf. While advised by a powerful prime minister (who is also a cousin), the emir is the ultimate authority in Qatar, streamlining decision-making. Partially on account of its small size, wealth and security service, Qatar has avoided the political turmoil of some other Middle Eastern states. Its government feels -- and is -- comparatively secure.

While the domestic politics of many other countries in the Arab world are forcing the attention of their leaders inward, Qatar has marshaled its assets and has embarked on an aggressive plan to shape the region.

In recent years, Qatar focused its energies on being a neutral party facilitating diplomatic compromises. It worked diligently to help broker the accord between Fatah and Hamas; it helped resolve a Lebanese impasse over the formation of the government in 2008; it even gets credit from the Sudanese for assisting in a political understanding over Darfur.

Such behavior was consistent with the obvious needs of a small country in a dangerous and difficult part of the world. Qatar sought to establish relationships with as many countries and parties as possible, and endeavored to prove its indispensability without ever taking sides on the region's many sensitive matters.

But since the onset of the Arab Spring, Qatar has adopted a more aggressive and potentially more risky foreign policy. It no longer seems satisfied with balancing its relationships with the greater powers -- be they the U.S., Iran or Saudi Arabia. Instead, it sees a window to steer and shape events, senses its comparative strengths, and has embarked upon a series of bold endeavors.

In Libya, Qatar was the first Arab state to vocally endorse military intervention against Muammar Qaddafi, prodding the Arab League to make the statement that ultimately gave the North Atlantic Treaty Organization political cover for its support of the revolutionaries. Going beyond rhetoric, Qatar provided six mirage jet planes to the fight -- offering Arab credibility to the military operation. In Syria, Qatar has lent the weight of al-Jazeera to those seeking to end the Assad regime.

Even the priorities of its $100 billion sovereign-wealth fund, the Qatar Investment Authority, have changed. Formerly focused on trophy investments such as Harrods Department Store Co. or "passive" ones intended primarily to collect returns, Qatar is now turning to strategic investments in companies and countries with which it intends to build cooperative ventures and wield influence. For example, electricity-hungry Qatar bought a stake in Spain's largest power utility, Iberdrola SA, for more than $2 billion earlier this year.

Qatar seems committed to shaping the political and economic outcomes that will emerge from the regional volatility it is helping create. Already, it is actively aiding the Libyan National Transitional Council as it thinks through reforming that country's national oil company, and there is talk of Qatar helping Libya explore its gas reserves. A Qatari-Libyan gas partnership would help Qatar address one of its primary strategic worries: the loss of markets for its gas in Europe.

In Egypt, Qatar has planted a flag with the announcement it intends to invest $10 billion there in the coming years. And in Sudan, Qatar will play a role in enforcing the new "Doha Document for Peace in Darfur," which was accepted by Sudanese parties as the framework for conflict resolution.

The key question for the U.S. is what does a region with a strong Qatari guiding hand look like? What kind of Arab world is Qatar seeking to achieve?

The answers aren't entirely evident. One could make the case that a more active Qatar, which is already home to the U.S. military's Central Command, is good for American interests. Qatar -- with its large investments in Western-style higher education, its relatively pragmatic approach to Israel, and its (still-too-modest) allowance of women's participation in municipal elections -- might be a moderating force in the region.

Yet one might make an equally compelling case that Qatar has little interest in political liberalization in the Middle East (given its own closed system and its support for Saudi troops in Bahrain) and that its activism is grounded in a desire to supplant global energy markets with state-to-state bilateral deals. After all, Qatar's long-term well-being rests on global gas consumption and the nation's ability to capture highly competitive markets. Although Qatar has shown little interest in Iran's entreaties for the formation of an OPEC-like gas cartel, a change of heart in this direction could harm America's allies, if not America itself, which is almost self- sufficient in terms of natural gas.

A year ago, such questions would have been for curious minds or academic interest. Today, with the Arab world in tumult and Qatar in high gear, it is of high strategic importance.

The U.S. is, no doubt, trying to do more than read the tea leaves -- or rather, the coffee grounds -- in the region. It needs to build and strengthen new strategic partnerships with regional actors, especially those that have the resources and imagination to shape events beyond their borders. Qatar should be on or near the top of its list. U.S.-Qatari relations are cordial and positive. But the warmth and strength of this relationship has been limited by Qatar's need to balance its ties with Iran, with which it shares an enormous gas field.

In recent months, the small emirate has moved away from a foreign policy based on hedging, toward a bolder and riskier approach. This seems to butt up against, or even challenge, some of Iran's most central interests. Qatar's encouragement of the revolution against Bashar al-Assad in Syria and its support of the status quo in Bahrain are two cases in point. This shift -- while opening Qatar to a possible Iranian backlash -- could provide the U.S. with an opening to strengthen ties.

What can the U.S. do? First, it might build on the meeting between President Barack Obama and the emir in April, and schedule more high-visibility encounters between U.S. and Qatari officials. This may seem insignificant to Americans, but such sessions hold great importance for Qataris, who prize prestige and recognition.
Second, the U.S. should trade in its ambivalence about Qatar's regional diplomacy in exchange for a warm embrace of it. Qatar's tendency to have relationships with everyone -- friend and foe, including the Taliban when it ruled Afghanistan -- has historically made the U.S. uncomfortable. But in a transformed region, Qatar's Rolodex may allow it to shape the region -- ideally with the quiet support of America.
Third, the U.S. should work with Qatar, and possibly other Gulf states, to craft economic support packages to post- revolutionary states. The U.S. might lend expertise and organization in Egypt and Libya, while Qatar foots more of the bill.
Finally, the U.S. should cultivate greater links between Qatar and American businesses. Qatar plans $100 billion in infrastructure projects in the run-up to its hosting the 2022 soccer World Cup; many U.S. companies could profit from these ambitions. This is how the fabric of closer bilateral ties is woven, and the payoff goes well beyond corporate profits.

Source: Bloomberg.


(Meghan L. O'Sullivan, a professor at Harvard University's Kennedy School of Government and former deputy national security adviser, is a Bloomberg View columnist. The opinions expressed are her own.)

Pateni darasa kutoka kwa Professor Sullivan. Mtajifunza kujua kwanini nampongeza JK kwa kazi aliyoifanya. Job well done Mr President!!!!
 
Mdondoaji,

Mkuu wangu nitakwambia mara ngapi swala la GDP per capital ili upate kuelewa?. Makuzi ya mwili mkuu wangu hayana mahusiano kabisa na AFYA bora tunachoonyeshwa hapa ni jinsi Tanzania ilivyoongeza mauzo yake toka mwaka 1980 hadi 2010 lakini ongezeko hilo halina mahusiano ya wananchi wake..Kwa mfano mwaka 1980 tuliuza billioni 7.7 tukiwa millioni 20, wakafanya mahesabu na kupata GDP per capital (386.55) na kweli fedha zote za mauzo ziliiingia ktk mzunguko nchini kama pato la taifa kutokana na kwamba mali zote zilikuwa za wananchi.

Tofauti na mwaka 2010 ambao tumeuza mathlan bil 708.0 tukiwa millioni 50 (GDP 1416) lakini mauzo yamefanywa na mashirika ya nje kina Barrick ambao pato lote limekwenda Canada na kilichorudi nchini ni fedha za matumizi yao kwa mwaka pamoja na asilimia 1.1 ya ruzuku. Kusema wewe unafaidika na mauzo makubwa ya Barrick ati wachumi wamesema hivyo ni kujidaganya ama unataka kuiridhisha nafsi yako!

Kwa hiyo, tuwe makini sana ktk kutazama vitu hivi ambavyo vimetengenezwa kwa ajili ya wazungu, kwanza kwao wao hakuna kitu kama Barrick wanavyotufanyia sisi yaani kampuni ya nje liwekeze Marekani wakati accounts zake ziko nje ya Marekani - Haiwezekani kabisa! Kwa hiyo, tukirudi kwetu the only real sale na makuzi ya uchumi yapo ktk kilimo hiki pekee ndio kina mahusiano direct na wananchi lakini vitu vingine vyote ni sawa na kuupigia mahesabu utajiri wa kaka yako..
 

Kamanda Mkandara,

Mkuu wangu GDP per capital metric has got its own weakness but it remain to be strong economic indicator for economic changes and performance. Kuna mchina mmoja alikuja na model moja complicated nadhani imetupiliwa mbali kwani GDP is robust since it also takes into account the utility of consumers. Huwezi kuwa unanunua mkate kama huupendi na hivyo unavyonunua mkate inamaana umeridhika nao.

Tukirejea katika hoja yako unarudi nilichokisema mkuu kuwa distribution of income but ni kikwazo nchini kwetu. Watu wachache ndio wanamiliki uchumi wa nchi yetu. Pia wazungu wanatuibia na kuchukua baadhi ya mapato yetu la msingi ni kuziba mianya hiyo. Nashukuru umelitolea mfano Barrick kama umenisoma nyuma Barrick imekuwa listed canada na london. Kwanini wasiishinikize Barrick walist kampuni yao DSE ya Tanzania? Wakilist serikali itaweza kuwakata kodi, mishahara ya wafanyakazi wao itakatwa kodi, na pia tutapata mrahaba wanaotudanganya nao wa asilimia 3.

Ni mipango tu mkuu. Hebu niambie sarakasi ya makampuni ya mahoteli makubwa kwani serikali yetu inashindwa nini kuwadhibiti? Kila siku wanabadilisha majina kuendelea kukwepa kodi. Serikali inashindwa kuzuia mianya hiyo. Watu wanapangisha watu nyumba hawalipi kodi serikalini je unalizungumzaje? Ni mipango tu mkuu but for this hata wewe you have to acknowledge him kuwa ni mafanikio yake.
 
Mdondoaji naona leo umehamasika kweli kumtetea mkuu wa kaya..!
Mkuu kuhusu hili la kilimo wala siwashiki makosa hawa vijana...! yaani mimi nilime kwa taabu na jembe la mkono halafu mazao yenyewe niyauze kwa bei kama bure! Mkuu hii kitu cha kilimo hata ukijiituma vipi kama serikali haijaamua kutoa mchango wake mkubwa ni kazi bure. Hivi kwani wewe hujui huko mikoani kuna matunda/mazao mengi tu yanaoza kwa kushindwa kusafirishwa kwa walaji mikoa mingine kwa sababu ya miundombinu mibovu? hatujaenda kwenye ufisadi wa ruzuku za mbolea na mauchafu mengine mengi.
Mkuu hii nchi tumepewa kila kitu kutoa uongozi bora tu. Yaani serikali ingekomaa na kilimo cha kisasa kabisa(Irrigation, kutumia vifaa vya kisasa vya klimo, mbegu bora, ruzuku ya mbolea n.k) tungekuwa mbali kabisa hata hawa machinga wangepungua mijini!
Tunacho chuo cha kilimo SUA(Sokoine University of Agriculture) lakini bado serikali inakodisha ardhi zetu kwa wageni as if hatuna wataalam wa kuendeleza kilimo chetu wenyewe cha kisasa na chenye tija! Usisikilize kabisa porojo za kilimo kwanza...hivyo ni vitu vya kuwekwa makabatini tu!
 

Umenisaidia sana mkuu ninaandika economic perfomance reports hapa hii thread ni useful sana..

Kingine ambacho JK amefanikiwa sana ni kusaidia mikoa iliyo "pembezoni"

Kuna data zifuatazo ninazitafuta kwa mwenye nayo!
1. Urefu wa barabara za lami zilizojengwa kutoka 2005 -2015
2. Idadi ya shule za secondari na idadi ya wanafunzi wanaosoma
3. Idadi ya walimu walioajiriwa na ongezeko la mishahara kwa kipindi hicho..

The figure are just amazing..JK amewapita sana watangulizi wake of course ana matatizo yake..lakini kiuchumi (indicator zinazokubalika) bado ni bravo..
 
The question is with all the resources we have is $1400 really something to be proud of?

There are countries with meager resources that have a much greater GDP because they have utilized what they have properly. We have been blessed with unimaginable wealth yet most of our people live in poverty.

It's like giving a 21 year old university graduate in Mathematics a 6 year olds elementary school math test and praising him when he gets 51%.
 
Propaganda zingine bana! Pambaf kabisa. Eti JK kafanya vizuri kwenye kupunguza umasikini. Are you serious?
 

Mkuu,

Leo wacha wengine wanione mie magamba but ukweli ni kwamba I am liberalist sifungamani na upande wowote. Penye sifa tumsifu kikwete penye udhaifu tukosoe ndio sifa ya kuwa msomi vyenginevyo mambo yataenda ndivyo sivyo.
Unajua Kilimo kwanza kinaweza kumsaidia vijana kwa vipi mfano Serikali imetoa mikopo ya gharama nafuu vya wakulima. Exim, Stanbic kuna mikopo ya wakulima wadogo wadogo inagharimu 8% annually (ukilinganisha na 20% of normal commercial bank loans). Vijana kama kumi hivi nawafahamu waliamua kuondoka mijini na kurudi vijijini moja alikwenda kwao Kilimanjaro kuanzisha kilimo cha matunda, mwengine (kama sikosei vijana wanne au watano )alilima kilimo cha karafuu, watatu walienda kufanya maandalizi ya kilimo cha mpunga, mmoja sijamfuatilia sana ila alienda kuanzisha kilimo cha miti ya fito. My god vijana hao wamefanikiwa hasa wa kilimo cha karafuu. Hivyo kilimo kwanza does help kama wakipata mwongozo mzuri. Moja karibuni ameomba mkopo stanbic wa milioni 30 anataka kuongeza ufanisi wa mkopo wake nadhani atafanikiwa. Vijana wetu wanahitaji kupewa moyo na kuhamasishwa.

Kilimo cha kisasa kina faida ila bila ya technical know how ni kazi bure. Graduates wa vyuo vikuu Tanzania hawazidi 10% of the total population of vijana unategemea kilimo cha kisasa kitawasaidia?
 

Tuko pamoja mkuu,

Hebu nipatie link hiyo nijifunze zaidi kwani zitanisaidia kufahamu. He is doing well ila unajua tena sie wanaadamu saa zengine hatuna shukrani. Kuna figures hizi nimezipata IMF kupitia Wikipedia hebu angalia projection of Tanzania GDP.

List of countries by future GDP (PPP) per capita estimates - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Mdondoaji,
This is what the government in Tanzania and some countries in Africa are good at....cooking data! Those data have got no value if people on ground suffer and live a miserely life.
Kuna sehemu hatutaweza kuhonga wala kudanganya ili mambo yetu yaende na unafiki utatuumbua wale tulioukumbatia kama ndio njia yetu ya kutapa maisha bora kwa kila mtanzania. Kuna kila dalili siku za kuwa accountable sio nyingi na haziko mbali sana. Naamini historia inayarekodi yote yanayoendelea na itakuwa inatupa kumbukumbu kadri tunavyosonga mbele.Aibu yao!!!
 
Haya yote ni sawa na mahesabu ya MEGAWATI wakati kuna mgao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…