Hongera JK na Mama Salma

Hongera JK na Mama Salma

Mbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2007
Posts
12,752
Reaction score
7,861
..." Besides every successful Man, there is a Goodwoman of Noble Character!"

i315_kikwete2.JPG

i316_kikwete20.JPG

Rais Jakaya Kikwete jana alitimiza miaka 20 ya ndoa yake na Salma Kikwete .
Sherehe hizo za kuadhimisha miaka hiyo 20 ilifanyika Ikulu jana jioni ambapo keki ilikatwa na wawili hao walilishana keki hiyo kwa bashahi mbele ya familia na jamaa ya karibu.
Pichani wakikata keki pamoja na ya pili mzee akimlisha mama keki. Lukwangule inawatakia kila la heri katika familia hii ya kwanza ili kuweza kuiongoza vyema familia yao na nchi.

chanzo; lukwangule entertainment



Miaka 20 ya ndoa, ...naam, miaka 5... 10... 15... 20 ni mfano wa kuigwa! Kila la Kheri katika miaka mingine ishirini (na zaidi) ijayo!
 
even hi i congratulate my beloved president and his wife for this event. May Almighty GOD increase happiness in their life with all the family
 
Hongereni sana miaka 20 ya ndoa si mchezo!mmevumiliana katika mengi!
 
Hongereni sana sana sana, kwetu Dar husema ''Alf Mabrouk''
 
Rais mchovu tu, hizi private matters zake kivyake, otherwise watanzania wanazidi tu kupigika.....ana tofauti ndogo sana na rafiki yake Mugabe!!!Who give a s..t hata kama anatimiza miaka 100 ya ndoa!!Na vimeo vyote alivyonavyo kweli huyo mrs. hana pa kwenda kwa kweli.
 
Rais mchovu tu, hizi private matters zake kivyake, otherwise watanzania wanazidi tu kupigika.....ana tofauti ndogo sana na rafiki yake Mugabe!!!Who give a s..t hata kama anatimiza miaka 100 ya ndoa!!! Na vimeo vyote alivyonavyo kweli huyo mrs. hana pa kwenda kwa kweli.

...The secret of a happy marriage remains a secret.
Henry Youngman
 
Hongereni sana,Wito kwa wanawake wote muwe wavumilivu kama Mama Salma,Nadhani mumeelewa namaanisha ninieeee!

PS. Hivi Ridhiwan na yule Binti aliyehitimu Muhi2 ni under 20 loh maajabu.
 
Hongereni sana,Wito kwa wanawake wote muwe wavumilivu kama Mama Salma,Nadhani mumeelewa namaanisha ninieeee!

PS. Hivi Ridhiwan na yule Binti aliyehitimu Muhi2 ni under 20 loh maajabu.

Mkuu kama sikosei Ridhiwan kagraduate UDSM already si rahisi kuwa under 20 kwa education structure ya Bongo. labda Mheshimiwa alianza kuzaa kabla ya kuofficiate marriage
 
Rais mchovu tu, hizi private matters zake kivyake, otherwise watanzania wanazidi tu kupigika.....ana tofauti ndogo sana na rafiki yake Mugabe!!!Who give a s..t hata kama anatimiza miaka 100 ya ndoa!!Na vimeo vyote alivyonavyo kweli huyo mrs. hana pa kwenda kwa kweli.
M
NIKIWA KTK MAFUNZO YA MGAMBO(ambayo nilitoroka) AFANDE MMOJA ALIWAHI SEMA......"KATIKA MSAFARA WA MAMBA, KENGE PIA WAMO".....

MTU ANAPOFANYA OVU AU ANAPOKOSEA ANALAUMIWA AU KUKOSOLEWA PIA ANAREKEBISHWA....! SASA MKULU WETU AMECHEZA KAMA PELE TUNASTAHILI TUMPONGEZE.....!
JK, NIPE NAMI MBINU ILI NIFIKISHE MIAKA 20 YA NDOA NA ZAIDI YA HIYO....!


BRAVOOOO......!
 
Rais mchovu tu, hizi private matters zake kivyake, otherwise watanzania wanazidi tu kupigika.....ana tofauti ndogo sana na rafiki yake Mugabe!!!Who give a s..t hata kama anatimiza miaka 100 ya ndoa!!Na vimeo vyote alivyonavyo kweli huyo mrs. hana pa kwenda kwa kweli.

...ha ha haaaaaaaaa, hii imetulia. The man is so smart when it comes to social. Had it been the same to handling national concerns...woh
 
...ha ha haaaaaaaaa, hii imetulia. The man is so smart when it comes to social. Had it been the same to handling national concerns...woh

...si ndio hapo, anapokula anahakikisha hamwagikiwi na mchuzi, kisha ananawa mikono, anachokonoa meno, kama maji anasukutua. Sio ulafi mpaka anavimbiwa au anakuja bambwa jinsi anavyo'beua-beua' hovyo!

"Behind every great man there is a surprised woman."
-Maryon Pearson​

...sio mtu yupo yupo tu hata kuku anashindwa kuwaongoza bandani jua linapokuchwa!

Hongera JK!
 
Mama KIKWETE! Hizo nywele umechemsha kweli. Sijui msusi alikuwa nani?
Hongereni. Umependeza mama ila kichwani rekebisha.
 
..." Besides every successful Man, there is a Goodwoman of Noble Character!"

But dont forget: Behind every failed man, there is more than one woman-Lol
 
ha ha ha Masanja hiyo nimeipenda lakini mbona wanaume wengine wana fail na wako peke yao.
Mwanamke mvumilivu sana huyu na ndo inatakiwa, anayeuliza hana pa kwenda una maana gani angekuwa wa kwenda angeenda those days ambazo alikuwa hatoki hata na mzee, sasa hivi maambo yameiva ndo aondoke yani asile hata matunda ya mti alioshiriki kuupanda, kuumwagilia na kuweka mbolea we vipi?
 
Hongereni sana,Wito kwa wanawake wote muwe wavumilivu kama Mama Salma,Nadhani mumeelewa namaanisha ninieeee!

PS. Hivi Ridhiwan na yule Binti aliyehitimu Muhi2 ni under 20 loh maajabu.

Hongera sana JK na Mrs. Wamependeza na wamenifirahisha sana. Ndoa siku zote ni kupendana na kuvumiliana. Kwa mtu ambaye hukuzaliwa naye na kulelea katika malezi sawa, mmekutana tu ukubwani na mkaamua kuoana au kuishi pamoja kama mume na mke, lazima tofauti zitakuwepo, naturally. Ili kuweza kushi ni vema kuchukuliana katika mapungufu hayo.

Ridhiwan na binti aliyehitimu Muhimbili ni watoto wa mke wa kwanza wa JK ambaye ni marehemu. Hawa walikuzwa na mama Salma kwa upendo wa hali ya juu. Another credit to mama Salma.
 
Rais mchovu tu, hizi private matters zake kivyake, otherwise watanzania wanazidi tu kupigika.....ana tofauti ndogo sana na rafiki yake Mugabe!!!Who give a s..t hata kama anatimiza miaka 100 ya ndoa!!Na vimeo vyote alivyonavyo kweli huyo mrs. hana pa kwenda kwa kweli.

This post was uncalled for and the language was not necessary and i am sure you didnt mean what you said. He [JK] didnt come to post the photos and family matters are family matters, mlaumu aliyeleta hizo news

Respect is very important especially on personal matters

Hakuna mkamilifu duniani
 
Back
Top Bottom