Kama ruzuku yote ilikuwa inaishia kwa Mbowe, hela za wafadhili kwa Mbowe, hakuna ofisi ya chama siyo makao makuu wala majimboni, achilia kwenye mashina. Maajabu wanasubiri ushindi kama wana wa Isarel walivyoshushiwa mana jangwani. Ukweli ni kwamba Mnyika hana raha kabisa, ni basi tu hana jinsi. Siyo ajabu hata hiyo nafasi ya KM akiitema, kwa kisingizio cha kustaafu siasa. Mbowe ameua upinzani tz.