Hongera JWTZ kwa kuonyesha umahiri na utayari

Hongera JWTZ kwa kuonyesha umahiri na utayari

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1639146131041.jpeg

1639146534033.jpeg


Hakika nalipongeza jeshi letu, JWTZ, kwa umahiri na uweledi katika shughuli zao za Ulinzi wa nchi. Hawa wapiganaji , si wa enzi zetu za JKT, kupigana kwa singe na bunduki za SAR na sana sana SMG.

Sasa naona kuna mitambo ambayo ni projectiles zinazohitaji mahesabu na timing.

Hongera JWTZ, yo make us proud.
 
Back
Top Bottom