Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BodabodaWho this guy
Acha kusifia wanaume......au huwa unatandikwaHuyu kaka ni mtu mpole mcha mungu na mtu wa watu hana makuu hana baya na mtu, mtu wa tabasamu lisiloisha tena kutoka moyoni hana chembe ya unafiki na Mungu kambariki hekima kamwongezea na vingine
Kuna Mtu kaanzia Instragram kumpamba Weee Wachangiaji wakawa Wachache Ebu tuone Humu.Huyu kaka ni mtu mpole mcha mungu na mtu wa watu hana makuu hana baya na mtu, mtu wa tabasamu lisiloisha tena kutoka moyoni hana chembe ya unafiki na Mungu kambariki hekima kamwongezea na vingine
hebu elezea inakuwaje? maana nimeuliza wee sijapata jibuAcha kusifia wanaume......au huwa unatandikwa
kwakweli jamaa kapitia misukosuko mingi sana lakini bado kabaki barabaraniMatajiri wengi kuanzia 2016-20121 walikufa Kwa pressure
Naona the guy Lugumi anasherekea
wa elfu mbili hamuwezi mjuaWho this guy
😃😀😀😀 Khe mkuu mbona Mimi sio gen zwa elfu mbili hamuwezi mjua
Huyo anaitwa Lugumi😃😀😀😀 Khe mkuu mbona Mimi sio gen z
Aaaah kumbe mkuu tatizo mie nimezoea kufatilia mpira tu na watu wakeHuyo anaitwa Lugumi
Kama unakumbuka ule mnada ambao uliimuibua Dr shika miatisa itapendeza
Aaaah kumbe mkuu tatizo mie nimezoea kufatilia mpira tu na watu wake