Hongera Kenya kufanya makanisa majukwaa rasmi ya siasa kwa pande zote

Hongera Kenya kufanya makanisa majukwaa rasmi ya siasa kwa pande zote

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huko Kenya sasa hivi Makanisa yamegeuka kuwa majukwaa ya wanasiasa. Wahuburi wanafanya huduma kwa muda mfupi tu kisha sehemu kubwa ya muda unaobaki wanawaachia wanasiasa waliofika katika inabada kutoa hotuba zao za kisiasa.

Uzuri ni kwamba wanasiasa wote kutoka upinzani na serikalini wanapewa fursa hiyo.
Hakuna ubaguzi katika kupata majukwaa ya kanisa kufanya siasa.

Hii ni demokrasia ya hali ya juu sana inayotoa uhuru na fursa kwa wote.
 
Wahuburi wanafanya huduma kwa muda mfupi tu kisha sehemu kubwa ya muda unaobaki wanawaachia wanasiasa waliofika katika inabada kutoa hotuba zao za kisiasa.

Hebu tuwekee moja hapa tuone huo muda mfupi wa huduma na muda mrefu wa siasa
Kwenye kila jambo lipo la kujifunza
 
Huko Kenya sasa hivi Makanisa yamegeuka kuwa majukwaa ya wanasiasa. Wahuburi wanafanya huduma kwa muda mfupi tu kisha sehemu kubwa ya muda unaobaki wanawaachia wanasiasa waliofika katika inabada kutoa hotuba zao za kisiasa.

Uzuri ni kwamba wanasiasa wote kutoka upinzani na serikalini wanapewa fursa hiyo.
Hakuna ubaguzi katika kupata majukwaa ya kanisa kufanya siasa.

Hii ni demokrasia ya hali ya juu sana inayotoa uhuru na fursa kwa wote.
Hadi Ikulu viongozi wa kanisa wanaitwa kwenda kuiombea nchi, lakini waislam wametengwa, kweli hiyo ndio demokrasia ya kweli.

Nchi ambayo hutumia majukwaa ya kikabika, dini katika siasa, bado unaita ni demokrasia. Au neno demokrasia siku hizi limefanyiwa "update" ila Mimi sijaipata?
 
Hebu tuwekee moja hapa tuone huo muda mfupi wa huduma na muda mrefu wa siasa
Kwenye kila jambo lipo la kujifunza
Muhimu sio muda, Je nchi ambayo ni "secular", iweje viongozi wa kisiasa wanatumia maeneo ya ibada kuwa ni majukwaa ya kisiasa?, Tena dini Moja pekee, misikiti ikianza kuzungumza siasa wanasema wanafunza ugaidi
 
Muhimu sio muda, Je nchi ambayo ni "secular", iweje viongozi wa kisiasa wanatumia maeneo ya ibada kuwa ni majukwaa ya kisiasa?, Tena dini Moja pekee, misikiti ikianza kuzingumzia siasa wanasema wanafunza ugaidi

Hebu tuwekee hapa misikiti inavyopingwa ili tupate ground ya kujadili
 
Alimradi wanatoa sadaka nono na fungu la kumi haina shida
 
Hayo yamefanyika sana Tanzania lakini kwa kuwa ni watu wenye asili ya unafiki wanaongelea ya wenzao.

Kuna kipindi walisema Kikwete alikuwa ni chaguo la Mungu na mara Magufuli naye mara huyu mama. Watanzania ni wanafiki wakubwa sana.
 
Tanzania baadhi ya wachungaji au maaskofu ndio hufanya siasa, huku kwenya wanawaachia kabisa madhabahu za kanisa wanasiasa wafanye wenyewe.
Hayo yamefanyika sana Tanzania lakini kwa kuwa ni watu wenye asili ya unafiki wanaongelea ya wenzao.

Kuna kipindi walisema Kikwete alikuwa ni chaguo la Mungu na mara Magufuli naye mara huyu mama. Watanzania ni wanafiki wakubwa sana.
 
Hayo yamefanyika sana Tanzania lakini kwa kuwa ni watu wenye asili ya unafiki wanaongelea ya wenzao.

Kuna kipindi walisema Kikwete alikuwa ni chaguo la Mungu na mara Magufuli naye mara huyu mama. Watanzania ni wanafiki wakubwa sana.
Hivi mkuu unaelewa kinachozungumzwa au ni mihemko tu inayokuendesha?.
 
Back
Top Bottom