Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,203
- 1,422
Hongera kwako Mkenya kwa kutufunga. Leo kicheko kwako; kwetu kilio. Kesho kinyume chake. Lakini bila kujali matokeo, tunabakia "DUGU MOJA". Tukutane baadaye kijiweni tukunywe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwako Mkenya kwa kutufunga. Leo kicheko kwako; kwetu kilio. Kesho kinyume chake. Lakini bila kujali matokeo, tunabakia "DUGU MOJA". Tukutane baadaye kijiweni tukunywe.
😂😂😂😂Jee kama Taifa Stars ingeshinda ingebadilika kuwa timu ya CHADEMA kwa kuwa iliyofungwa sasa ni ya CCM?