Dailynews Reporter in Dodoma,
28th January 2010
TANZANIANS may soon witness trains moving as fast as 120 kilometres per hour as the government mulls introduction of fast moving locomotives in an effort to improve transport services.
Hivi ile project ya mabasi ya kasi Dar imeishia wapi??
Nadhani bado wanaandaa mpango wa kutafuta uwezekano wa kupata mkakati wa kuunda tume itakayochunguza uwezekano wa kuanzisha mradi huo kwa ufanisi mkubwa. Kabla mpango kabambe wa kutafuta uwezekano wa kupata pesa za kuuanzisha.
Baada ya maandalizi hayo kukamilika, ndipo mchakato wa kisera utakapoanza ili kuunda tume huru itakayotafuta mawazo ya wananchi kuhusu utaratibu utakaofaa wa kusimamia mradi huo.
Na baada ya hilo kukamilika ndipo mpango mwingine na mwingine utakapoanza
Kama kuna kitu kinanikera kwa wanasiasa ni lugha yao ya kusema yajao siku zote... ni wanasiasa wachache sana kama wapo wanaosema tumefanya, nimefanya... I have accomplished etc...
Lugha zao nyingi ni tunampango, tumeunda tume, kikosi kazi, tunajadili, tunafanya feasibility study, tunatafuta wafazili... blaaa blaaa blaaa....
izi ndio ahadi za prof jay kwenye wimbo wa ndio mzee, kawambwa anasahau kikwete juzi katutukanisha uko libya kwa kudai tz ni maskini sana kukarabati reli kwa bil.15 sasa uyo kawambwa anadhani lokomotive ( kichwa cha treni ) cha iyo treni ya kasi naweza kua sh ngapi? for your record huge engine za lokomotice ziko kwenye 5bil. ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya ......................