Hongera King Crazy GK

binafsi napenda kumpongeza huyu kamanda kwa kurudi vyema kwenye gemu na ngoma ya shukrani ila kubwa zaidi nampongeza kuweza kumaintain sauti yake ya kurap tangu miaka ile mpaka leo ipo vilevile. jamaa ni jembe hatari

kweli mkuu huyu jamaa ni zaidi ya hatari katika michano! amejitahidi kutukumbusha those day!

lakini sijui kwanini anajiita MFALME KICHAA GK
 
Jamaa wachawi wake ni AY na FA.
 
Wachafua uzi some minutes pse.
Mtoa mada weka link tupakue, sie wengine hz ndio starehe zetu!
 
na ile style yake flan ya kurap nje ya ya key flan hv.. but it amaizin'
 
ule wimbo niwakawaida saana bhas tu anapewa promo bicoz pale clouds kuna watu wake, lakin anatakiwa abadilike gem yasasa sio mchezo et!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…