Hongera Kocha Charles Boniface Mkwasa, tunakuamini

Hongera Kocha Charles Boniface Mkwasa, tunakuamini

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Hatimaye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limempatia mkataba wa miaka mitatu Kocha Mkwasa kuinoa Taifa Stars. Mkwasa atakuwa Kocha Mkuu wa Taifa Stars baada ya kuwa wa muda kwa miezi mitatu.

Najitokeza kumpongeza Kocha Mkwassa kwa kupatiwa mkataba. Tanzania inamwamini Kocha Mkwassa. Tunaweka silaha zetu chini...!
 
Safii saaana na atalipwa kama alivyokuwa analipwa Noij
 
....au ndo maana Minziro ameachia ngazi Jkt...
 
Wangevunja mkataba wake na Yanga kwanza, kocha anakuwa busy na Yanga hapati fursa za kutembea kuangalia vipaji vipya. Ndio maana walioitwa ni yanga, azam, mtibwa na simba kwa mbalii. Sio kama timu nyingine hazina vipaji but hajapata muda wa kuwaona. Nadhani tff watashughulikia hilo swala
 
Wanalewaga sana wakishapewa mikataba, wacha muone
Moja Ndani Mbili Nje
 
Kila lenye Heri Charls Mkwasa,namkumbuka Mzirai hope wangeshirikiana
 
Kila la heri Mkwasa.. Ila suala la kuja kuangalia mazoezi yetu kwa kigezo kua unaangalia vijana wana viwango gani halitavumilika hata kidogo.. Kama unataka kuwafahamu vyema, karibu uwanjani.
 
Wangevunja mkataba wake na Yanga kwanza, kocha anakuwa busy na Yanga hapati fursa za kutembea kuangalia vipaji vipya. Ndio maana walioitwa ni yanga, azam, mtibwa na simba kwa mbalii. Sio kama timu nyingine hazina vipaji but hajapata muda wa kuwaona. Nadhani tff watashughulikia hilo swala

kuwa na wachezaji wengi wa timu kubwa kwenye taifa stars haiepukiki .hivyo vipaji ulivyovitaja vinatakiwa vioneshe vimesaidiaje kwenye timu kuwa nafasi nzuri...rejea TAIFA STARS YA MABORESHO nadhani unajua kilichotokea na maendeleo yake hadi sasa.
 
Congratulations Mkwassa. Usimtupe Kibadeni kwenye benchi lako la ufundi.
Mi Yanga lakini najua King Kibadeni ni jembe.
 
Back
Top Bottom