Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Kwa kweli bila mama jana ilikuwa tunakufa nyingi ila mama kasaidi tumefungwa chache, nani kama mama.View attachment 2821313
.Kwa kweli bila mama jana ilikuwa tunakufa nyingi ila mama kasaidi tumefungwa chache, nani kama mama.
View attachment 2821313
Taifa Stars imeimarika mno.Kwa kweli bila mama jana ilikuwa tunakufa nyingi ila mama kasaidi tumefungwa chache, nani kama mama.
View attachment 2821313
Wakitaka kupata nguvu waende kwa mama yao si ndio wanaomuabuduTaifa Stars imeimarika mno.
Tuendelee kuiunga mkono, Tuendelee kuipa nguvu..
Taifa Stars hoyeeeeeee....
Huyu mama sio tu kiboko bali ni fimboKwa kweli bila mama jana ilikuwa tunakufa nyingi ila mama kasaidi tumefungwa chache, nani kama mama.
View attachment 2821313
yule dogo kipa, anajitahidi. tuendelee kumtumia, ila jana kocha ambaye ni mmoroko alipanga kikosi ambacho hakitaisumbua nchi yake ya moroko. tuwe wakweli. unaanzaje kikosi na yule mnyakyusa aliyejifunga goli la pili, ukaacha samata na msuva? mabeki kama shabalala na kapombe, hata boko angecheza jana sio mbaya. wamepanga watoto watupu kwenye mchazo muhimu?Kwa kweli bila mama jana ilikuwa tunakufa nyingi ila mama kasaidi tumefungwa chache, nani kama mama.
View attachment 2821313
usiwe mchoyo wa nguvuWakitaka kupata nguvu waende kwa mama yao si ndio wanaomuabudu
Yule dogo ni mwenyekiti wa uvccm mkoa wa Iringayule dogo kipa, anajitahidi. tuendelee kumtumia, ila jana kocha ambaye ni mmoroko alipanga kikosi ambacho hakitaisumbua nchi yake ya moroko. tuwe wakweli. unaanzaje kikosi na yule mnyakyusa aliyejifunga goli la pili, ukaacha samata na msuva? mabeki kama shabalala na kapombe, hata boko angecheza jana sio mbaya. wamepanga watoto watupu kwenye mchazo muhimu?
Hatuko tayari kushangilia timu ya Chama.Taifa Stars imeimarika mno.
Tuendelee kuiunga mkono, Tuendelee kuipa nguvu..
Taifa Stars hoyeeeeeee....
Mbavu ya kulia.Mama alikuwa anacheza beki au kiungo mkabaji?
Mungu akusamehe na kukubariki bureHatuko tayari kushangilia timu ya Chama.
kawachezeshe nyumbani kwakomabeki kama shabalala na kapombe, hata boko angecheza jana sio mbaya