Hongera kwa mwandishi Paschal Mayala

Hongera kwa mwandishi Paschal Mayala

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Mwandishi huyu ameanzisha vipindi vya mfululizo kwenye maonyesho ya sabasaba,kipindi hicho kinarushwa TBC 1, kuanzia saa 21:15Pm.
Wito wangu kwenu,tumpeni ushirikiano
 
Kwani hiyo si ndio kazi yake ktk kipindi cha 7-7 na 8-8?
 
Mwandishi huyu ameanzisha vipindi vya mfululizo kwenye maonyesho ya sabasaba,kipindi hicho kinarushwa TBC 1, kuanzia saa 21:15Pm.
Wito wangu kwenu,tumpeni ushirikiano
Mwenzio yupo kazini analipwa
 
Mkuu pascal una ID mbili kumbe?
 
Mwandishi huyu ameanzisha vipindi vya mfululizo kwenye maonyesho ya sabasaba,kipindi hicho kinarushwa TBC 1, kuanzia saa 21:15Pm.
Wito wangu kwenu,tumpeni ushirikiano
Ushirikiano upi
 
Mpaka atakapo sema alicho zungumza na kamati ya bunge hapo ndio nitajua. Karudi rasmi kwenye game
 
mimi muda huu namsikiliza akimhoji mkurugenzi wa elimu kwa mlipakodi kupitia TBC. Ni kipindi kizuri
 
Kwani hiyo si ndio kazi yake ktk kipindi cha 7-7 na 8-8?
Yawezekana ni mtoto huyu, ndiyo kwanza amebalehe na kuanza kufuatilia mambo. Hivyo mpeni majibu ili ajue. Aiyo kila MTU ni mhenga.
 
Mwandishi huyu ameanzisha vipindi vya mfululizo kwenye maonyesho ya sabasaba,kipindi hicho kinarushwa TBC 1, kuanzia saa 21:15Pm.
Wito wangu kwenu,tumpeni ushirikiano
Kalogwa na nani ? kuweka vipindi TBC anataka waangalie akina nani ?
 
Back
Top Bottom