Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,451
Rais Uhuru anastahili kupongezwa kwa kuruhusu ile rally ifanyike.Pongezi kwa kiasi kikubwa zinasathili kwenda kwake,kwa sababu angeweza kuzuia angetaka.
Kenya wameonyesha kwa nini wanaitwa watu wenye IQ kubwa.
My friend, that right is enshrined in the constitution. Kenya is not a dictatorship. No entity can revoke or regulate that right.
Rais Uhuru anastahili kupongezwa kwa kuruhusu ile rally ifanyike.Pongezi kwa kiasi kikubwa zinasathili kwenda kwake,kwa sababu angeweza kuzuia angetaka.
Kenya wameonyesha kwa nini wanaitwa watu wenye IQ kubwa.
Yule majority leader katika Bunge,yule Adam alisema,'Kenyatta akiruhusu huu mkutano wa CORD, I will resign''. Kwa hiyo,there was confusion,and decisions had to be made.
Bado una hangover ya enzi za DICTATORSHIP; siku hizi haki za wananchi are enshrined in constitutions za wananchi na ndio maana waTanzania wanalilia katiba yenye kulinda maslahi yao na sio ya watawala!!
Ha ha haa......My friend you don't know who you are talking to? I can bet my whole pension he doesn't know a thing about Kenyan constitution....just a "big name" he is!
This is not about Uhuru, it is the constitution. He had to.
I am glad everybody seems to agree the new constitution is being respected and working.
Dont conflate a right enshrined in the constitution with your agenda, which is to glorify your your tribesman on this forum!