Manstone
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 516
- 315
Habari wana Jf!
Shukrani Ziwafikiwe Wana Mara Wote Hasa Kwa Ndugu Zetu Wanaserengeti Kwa Kutupokea Vizuri,
Tuliandaliwa Chakula " UGALI" wa mtama uliochanganywa na unga wa mihogo na kitowewo aina wanayoiita " KIMORO".
Kitowewo hiki kilikua kitamu sana japo kilikuwa na harufu kali, ambayo haiwezi kusababisha uiache kuitumia kulingana na utamu wake.
Niliwauliza wenyeji hii nyama ni ya nini? na kutujibu ni nyama ya pori ambayo huanikwa juani katka vipande vya saizi tu na kukaushwa kwa jua pamoja na chumvi huko huko porin na kuleta vipande vilivyokaushwa.
Niipenda sana kitowewo hiki, na kufungashiwa vipande viwili vya nyama hizi kiukweli zilkua zikionekana kama ngozi.
Baada ya kuondoka nikajiuliza, je huko porini wakiua simba au fisi wakiikausha utaijuaje?
Shukrani Ziwafikiwe Wana Mara Wote Hasa Kwa Ndugu Zetu Wanaserengeti Kwa Kutupokea Vizuri,
Tuliandaliwa Chakula " UGALI" wa mtama uliochanganywa na unga wa mihogo na kitowewo aina wanayoiita " KIMORO".
Kitowewo hiki kilikua kitamu sana japo kilikuwa na harufu kali, ambayo haiwezi kusababisha uiache kuitumia kulingana na utamu wake.
Niliwauliza wenyeji hii nyama ni ya nini? na kutujibu ni nyama ya pori ambayo huanikwa juani katka vipande vya saizi tu na kukaushwa kwa jua pamoja na chumvi huko huko porin na kuleta vipande vilivyokaushwa.
Niipenda sana kitowewo hiki, na kufungashiwa vipande viwili vya nyama hizi kiukweli zilkua zikionekana kama ngozi.
Baada ya kuondoka nikajiuliza, je huko porini wakiua simba au fisi wakiikausha utaijuaje?