Hongera kwenu TFF kwa kutuletea electronic substitution board, Sasa leteni na poda

Hongera kwenu TFF kwa kutuletea electronic substitution board, Sasa leteni na poda

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Kiukweli inafurahisha sana kuona subs zinafanyika haraka haraka bila kupoteza muda. Niwaombe tu mjitahidi mlete na poda za kuchorea sehemu ya wachezaji kusimama wakati wa fouls na mpira ulipotengwa,(referees vanishing spray) Rwanda wao walianza kitambo tu, nasisi tununue poda.

images - 2024-08-11T234735.320.jpeg

 

Attachments

  • images - 2024-08-11T235909.636.jpeg
    images - 2024-08-11T235909.636.jpeg
    15 KB · Views: 1
Walikuwa wanajiendekeza tu na kuendesha mambo kishamba hizo zilitakiwa kuja miaka ya 2000
 
Poda halafu uwanja liti hata yenyewe itakataa kuchora
 
Zike earphone za mawasiliano ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom