Mbona azam, unga wa bahresa yote hayo ni majina ya watu na mnafagilia?
Pafyumu nyingi ni za majina ya mastaa wa nje na mnafagilia?
Azam ni jina la mtu gani??!!! Mkuu acha kuchanganya madesa mmiliki wa Azam anaitwa Said Salim Bakhresa. Inawezekana Azam likawa jina la mtu lakini siye anayemiliki hyo brand. kwa hapa bongo hilo jina linaweza kumuua acheni ushabiki.Mbona azam, unga wa bahresa yote hayo ni majina ya watu na mnafagilia?
Pafyumu nyingi ni za majina ya mastaa wa nje na mnafagilia?
We naye, umeshindwa kuchangia bila kuanzisha small talk??Hongera sana JayDeee afadhali ya wewe unaona mbali kuliko yule anayejiona eti superstar kwa sababu kaolewa na MZUNGU na ana ka blog kanamtia wazimu na kutukana wenzie. BIG UP JIDEE wewe ni mfano wa kuigwa
Hao wenye hayo majina hatuwajua personally kwahiyo mtu hawezi kusema simpendi John Walker so sinunui brand yake..ila yeye kwavile anajulikana mtu atanunua kutokana na mapenzi binafsi kwa JayDee na sio kwakuhitaji kilichobrandiwa...kitu ambacho kitamnyima wateja wasiompenda!!I have seen a lot of wines and whiskeys with names like Robertson, John Walker, etc and we are taking them without questioning. Lets give her hands.
wabongo nuksi,ila yangeitwa Beyonce hapa kila mtu angesifia,penye sifa tutoe jamani bint anajitahidi sana
Shosti, uko sahihi kusifia mtu wa kwetu.... lakini jamani, hivi huko kwa akina Beyonce kwenyewe vinywaji au/na vyakula huwa vinapewa majina ya hawa ma-celebrity kweli? Kweli??
Mnaoishi huko mtuhabarishe maana mi sijawahi kusikia!
Hao wenye hayo majina hatuwajua personally kwahiyo mtu hawezi kusema simpendi John Walker so sinunui brand yake..ila yeye kwavile anajulikana mtu atanunua kutokana na mapenzi binafsi kwa JayDee na sio kwakuhitaji kilichobrandiwa...kitu ambacho kitamnyima wateja wasiompenda!!
Branding ni muhimu sana,ni moja ya kitu ambacho kitakupa wateja au la tokana na wateja watakavoperceive yo brand name!
Sijaafikiana sana na iyo brandname yako coz itahusishwa moja kwa moja na muziki wako so kwa wale wasiokubaliana na, mziki wako maybe hawatonunua maji yako?maybe?customers can be irrational at times!all things must be but at consideration!
Otherwise nice job!ndio ujasiriamali huo sio!big up,
We nawe zuzu kweli!Ulipoona namkandia ni wapi...nilichofanya ni kumjibu mtu mwingine!!Ungetoa sifa ukaenda zako ungekua mjanja zaidi...!Haters acheni kumwaga sumu. Panapostahili sifa sifieni hayo mengine ya nini tena?? cha muhimu ni ubora wa bidhaa jina chana nalo we kunywa maji fresh ya Lady Jaydee. Congrats Mrs Mbibo-Gadner Habash. Pamoja daima.
kwa hiyo tunywe machozi. Naomba machozi kubwa baridi. Lolhongera sana Jaydee
ila angeyaita MACHOZI yangependeza sana