Elections 2015 Hongera Lowassa: Wewe ni bingwa wa siasa za Tanzania



Upinzani si kuchukiana, bali ni kuicheki serikali kama inafanya kazi sawa. Kama inafanya vizuri wapinzani waiunge mkono, Na kama inakosea basi wanaikosowa kwa mawazo ya kusaidia. Mbowe na Lissu ni matusi kwa kutumia jina demokrasia, demokrasia gani hiyo? Watabaki wawili kwenye chama kila mtu ananyatuka
 
Hatimaye yametimia, wengine tuliyaona toka awali kuwa jamaa amekuja kulipa kisasi tu.... Na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa laana imwandame Mbowe.
 
Hili Kaburi pia ni chungu sana kwa Makarai Kama lile pia Pasco alilotabiri kuwa Edward angegombea kupitia Ukawa?

Chadema wamefundishwa Siasa na CCM Safari Hii!
Hatimae jamaa kaacha majereha makubwa sana kwenye siasa za upinzani Tanzania.
 
Ukitazama kwa namna flani mtoa mada uko sahihi ingawa ukweli unauma na wengi watakupinga..Ila sio kwa kujibu hoja yako
Leo kiko wazi tulichokiongea miaka kadhaa nyuma.
 
Niliamua kuachana na siasa rasmi Mh Lowasa alipo jiunga Chadema. Nawahurumia vijana waliojiunga kushabikia siasa na kupoteza wakati na heshima kwenye jamii. Ni muda wa kujitafakari kwa upya. Pole Kaka yangu Mbowe Pole Tanzania.

Ishi halisi
 
Niliamua kuachana na siasa rasmi Mh Lowasa alipo jiunga Chadema. Nawahurumia vijana waliojiunga kushabikia siasa na kupoteza wakati na heshima kwenye jamii. Ni muda wa kujitafakari kwa upya. Pole Kaka yangu Mbowe Pole Tanzania.

Ishi halisi
Maamuzi ya Mbowe 2015 hayakustahili kuungwa mkono kwa namna yoyote ile, ila mihemko ya kisiasa na uwezo mdogo wa kuona mbali ulifanya watu washangilie ule upuuzi.
 
Acha tu, kwa hali ilivyo akitoka jela aunge mkono juhudi aponde maisha.
Maamuzi ya Mbowe 2015 hayakustahili kuungwa mkono kwa namna yoyote ile, ila mihemko ya kisiasa na uwezo mdogo wa kuona mbali ulifanya watu washangilie ule upuuzi.

Ishi halisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…