Hongera Luhaga Mpina kwa kuwa na akili na utashi wa kibunge

Hongera Luhaga Mpina kwa kuwa na akili na utashi wa kibunge

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam JF

Pongezi kwa ndugu Luhaga Mpina kwa namna anavyowasilisha hoja zake, michango yake, mantiki na maudhui, anakuwa na hoja na mapendekezo. Uwakilishi halisia wa kibunge, Mungu ambariki sana, na anatoa taswira nzuri ya uwepo wa watu wenye akili na utashi wa kibunge ndani ya Bunge letu.

Hongera sana sana.

Mungu akubariki na akuzidishie maarifa.

Wadiz
 
Amewasilisha kitu gan sasa....yaan umeandika as if woote tulikuepo
 
Yuko vizuri, bahati mbaya wahusika kila ushauri wanaopewa badala ya kusema wataufanyia kazi, wanageuka wabishi kushindana na Mpina, kwao wanamuona Mpina kama adui wao, ni Tanzania pekee ambapo interest za kundi fulani zinakuwa juu ya taifa.
 
Yuko vizuri, bahati mbaya wahusika kila ushauri wanaopewa badala ya kusema wataufanyia kazi, wanageuka wabishi kushindana na Mpina, kwao wanamuona Mpina kama adui wao, ni Tanzania pekee ambapo interest za kundi fulani zinakuwa juu ya taifa.
Na wala haidhuru wana uhuru wa kupokea au kutopokea, na yeye aendelee kuwakubusha na kuwakosoa, na kupendekeza ndio muhimu basi.
 
Bahati mbaya kina Messi wako benchi ila wabangaizaji. Tunahitaji katiba Bora yenye kuhakikisha watu wetu mahiri bila kujali Imani itikadi zao hawaachwi nje kwenye kuisukuma nchi hii mbele.
 
Yuko vizuri, bahati mbaya wahusika kila ushauri wanaopewa badala ya kusema wataufanyia kazi, wanageuka wabishi kushindana na Mpina, kwao wanamuona Mpina kama adui wao, ni Tanzania pekee ambapo interest za kundi fulani zinakuwa juu ya taifa.
Acha unafiki
 
Lakini amejibiwa na msimamizi wa sera za Fedha na mipango kwamba mfumuko wa bei si kwaajili ya sera mbovu.

Akamwambia mpina akajadili uganga ndio unam suit zaidi. Mambo ya uchumi amwachie yeye mtaalam. Wa uchumi.

Numejaribu kuelezea kwa kifupi the actual scenario.
 
Hili la Plea bargaining nalo linahitaji watu huko bungeni liundiwe hadi tume!
 
Ameambiwa akajadili uganga wa kienyeji, ila yule jamaa mvaa bendera shingoni ana dharau Sana
 
Back
Top Bottom