Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Ndiyo ana miaka 90 sasa, Ngina Muhoho almaarufu Mama Ngina ni mke wa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kenya Hayati Jommo Kenyatta & Mama wa Rais wa nne wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta
Mama Ngina alizaliwa 24 June 1933 hivyo kwa sasa anao umri wa miaka 90.
Nini Siri ya mafanikio hayo makubwa kiafya kwa mama yetu na lipi tunajifunza kutoka kutoka kwake?
Mungu azidi kukujaalia maisha marefu zaidi.
Ndiyo ana miaka 90 sasa, Ngina Muhoho almaarufu Mama Ngina ni mke wa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Kenya Hayati Jommo Kenyatta & Mama wa Rais wa nne wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta
Mama Ngina alizaliwa 24 June 1933 hivyo kwa sasa anao umri wa miaka 90.
Nini Siri ya mafanikio hayo makubwa kiafya kwa mama yetu na lipi tunajifunza kutoka kutoka kwake?
Mungu azidi kukujaalia maisha marefu zaidi.