Hongera mama Sasa tumekuwa ngoma moja na Brazil kimpira Tanzania inaogopeka sana umenyanyua soka la bongo.

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Mwenye macho haambiwi tazama. Tanzania mama ameinyanyua kimpira au kisoka. Tanzania inaogopeka sasa. Tumecheza na guinea nchi ambayo inq wachezqji mpaka wa Dortmund lakini tumewatandika. Hii yote ni guvu ya goli la mama


Mitano tena.
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Tanzania mama ameinyanyua kimpira au kisoka. Tanzania inaogopeka sasa. Tumecheza na guinea nchi ambayo inq wachezqji mpaka wa Dortmund lakini tumewatandika. Hii yote ni guvu ya goli la mama


Mitano tena.
Well done mamo ๐Ÿ’ช
waTanzania wana imani na dhamira na nia yako njema katika kuendeleza michezo hususani mpira wa miguu, na huu ni mwanzo tu ๐ŸŒน
 
Mpira wa Tanzania umechanganywa na siasa ,mabango ya mama yamejaa Kwenye viwanjaa mpk kerooo,makocha na wachezaji hawazungumzi mpira tenaa n Asante mama ,Asante rais yaan ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ