aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Nmefarijika sana leo baada ya kumuona Mandojo Kariakoo akiwa kwenye duka la viatu vya kike simple akichangamka na kuuzia wadadaB.
Baada ya kudadisi nikaambiwa lile duka ni lake nilifurahi ikabidi nikamuungishe kiatu pia
Nampa hongera maana wenzake wengi sasa ni mateja.
Baada ya kudadisi nikaambiwa lile duka ni lake nilifurahi ikabidi nikamuungishe kiatu pia
Nampa hongera maana wenzake wengi sasa ni mateja.