Wapi Domokaya? Last time nilikuwa naye njiro(arusha)kwa mama yake wakati alipofiwa na baba yake,hasomeki yaani!Nmefarijika sana leo baada ya kumuona mandojo kariakoo akiwa kwenye duka la viatu vya kike simple akichangamka na kuuzia wadada
Baada ya kudadisi nikaambiwa lile duka ni lake nilifurahi ikabidi nikamuungishe kiatu pia
Nampa hongera maana wenzake wengi sasa ni mateja
Hivi huyu ndo yule mjengo wake ulibomolewaNmefarijika sana leo baada ya kumuona mandojo kariakoo akiwa kwenye duka la viatu vya kike simple akichangamka na kuuzia wadada
Baada ya kudadisi nikaambiwa lile duka ni lake nilifurahi ikabidi nikamuungishe kiatu pia
Nampa hongera maana wenzake wengi sasa ni mateja
Ya kazi gani?Ulivokuwa naye hukuchukua mawasiliano yake?
Inauma sana hua nina roho ngumu lakini hakuna mtu nilimwonea huruma kama yeye kwa kweliHuyo huyo hivi anavyokaza atatoka tu
Ofisi iko upande ganiKwa huruma hii pita dukani kwake umuunge hata viatu jozi 5 hivi apate nguvu ya kujenga mpya
Yupi kati ya hao?Critique wa Daz Nundaz akiwa na Selemani Msindi View attachment 840721
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji16]