Sasa hapo ni yupi?Critique wa Daz Nundaz akiwa na Selemani Msindi View attachment 840721
Sent using Jamii Forums mobile app
huwa hamkosekani watu kama nyie kwenye sred za mafanikio ya watuHilo duka la mjaluo moja wa utegi huko jamaa anasimamia tu kwa cku analipwa cha ten
Sent using Jamii Forums mobile app
Umempa za uso[emoji23] [emoji23] [emoji23]huwa hamkosekani watu kama nyie kwenye sred za mafanikio ya watu
Unamaanisha ni duka la Ochele ama Lameck??Hilo duka la mjaluo moja wa utegi huko jamaa anasimamia tu kwa cku analipwa cha ten
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungempiga kisirisiri.........hivi unashindwaje kuimwiba mtu kumfotoa mapicha???? ........So ulitaka nimuombe kumpiga picha??
kwa domo unatuibia na ugali wa bure kwa mamaake Arusha amuachie nani,ajira pekee alonayo kwa sasa ni ulezi wa mtoto wake huku demu wake akijiuza China amtumie pesa sijui hata anafanyia nini maana mamaake asipokoroga sabuni auze ugali mezani hamnaHilo duka kitambo sana analo mi nilimuungisha kiatu mwak 2013,ata domokaya naye anapiga hiyo mishe ya viatu bt nahis hayuko serious km mwenzie au mtaji ake mduchu.
Inabidi nikuelekezeUngempiga kisirisiri.........hivi unashindwaje kuimwiba mtu kumfotoa mapicha???? ........
Sent using Jamii Forums mobile app
yap mjengo wake ulipigwa mtama na mabaunsa.Hivi huyu ndo yule mjengo wake ulibomolewa
Wa kwanza kulia!Sasa hapo ni yupi?
Au hao Wawili wote ndio Daz nundaz wapo na Sele?
Huyo wa kulia kwa CMU yako ama kushoto kwa afande sele!Critique wa Daz Nundaz akiwa na Selemani Msindi View attachment 840721
Sent using Jamii Forums mobile app