Mhe. Mbowe kwa kukusudia ama kwa kulazimishwa na mazingira, umefanikiwa kukifanya CHADEMA kuwa sasa na sura ya kitaifa zaidi.
Kumekuwa na mtizamo kuwa chama hiki ni cha kikanda ama cha kikabila ama cha kifamilia. lakini kwa sasa baada ya uchaguzi na viongozi waliopatikana sasa hoja hii imekufa.
Kwa sasa umeweza kuwapatia watz chama mbadala.
Hongera sana.
Kumekuwa na mtizamo kuwa chama hiki ni cha kikanda ama cha kikabila ama cha kifamilia. lakini kwa sasa baada ya uchaguzi na viongozi waliopatikana sasa hoja hii imekufa.
Kwa sasa umeweza kuwapatia watz chama mbadala.
Hongera sana.