Elections 2010 Hongera mh. Dk. Jakaya M. Kikwete

Mwanamageuko kwani wewe ni ridhiwani au mtoto wa kambo wa kikwete, mbona unamwita kikwete baba?
Remoteattacks hivi baba yako akikuita baba huwa umekuwa baba yake???:smile-big: wapo wanaoita watu wakombozi na ilhali wao hawajakombolewa inakuwaje hapo??? yapo maandiko; wala msimwite mtu baba duniani... lakini leo hii kuna mababa wangapi? na tena hao wanaoitwa ma-baba hata wake hawana huwa wamewazaa???
 
Kiherehere chako! Hupati promotion Ng'0!!!! Unajipendekeza utadhani sijui nini.

SEMA ANDIKA TUKANA HUWEZI BADILI MATOKEO MIMI MWANMGEUKO NAMUUNGA MKONO RAIS NDO HUYO ALIYETUKANWA PALE MWEMBE YANGA TANDIKA NA MWANA CHADEMA KAMA WEWE NEMBO YAKO HAIJIFICHI NAKUPA MWAKA NA CHAMA CHAKO ww ndo watakupa promotion uwe mstaarabu na lugha
 
Mungi tizama ukweli acha kupinga kila kitu, wewe vp aisee ?
:cool2: Jiniazbrein, wala usichukie pale unapoziona lugha tofauti zimetumika, bali wapaswa kuzijua lugha hizo zatokana na nini .... :gossip: ukishalijua hilo NDIPO WAPATA PICHA HII: TUKIWA NA MATATIZO YA MENO, TWAONA Dentist, IKIWA UONI WETU wa MACHO NI HAFIFU TWAWAONA MA-Optometrist. sasa kwa makini sana zingatia hili neno (tafakari ukiwa peke yako maana watu wanaeza kujiuliza unacheka nini na kompyuta yako) MTU AKIWA NA TATIZO LA UONI HAFIFU huitiwa Neurologists!! Ndio maana nilisema tutafute darubini ili tuone mbali... Uoni wetu bado ni hafifu na hatujui kama hatuoni :smile-big: Mkuu Jiniaz, hapo umenipata???:smile-big:
 

Kweli wewe ni "Shake well"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…