Hongera Millard Ayo: Afungua Kituo cha kurusha mawimbi ya redio

Hongera Millard, young, talented, and organized wish you all the best
 
Ritz na mafisadi kwa mshahara upi watangazaji wabTanzania anaolipwa hembu dadavueni kwamapana kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi tutaona mengi.

swali makini sana! maana kipindi cha kuvuna ndio hiki! kuanzia wanahabari, waganga wapiga ramli mpaka wana bongo fleva.
 
Kwa jina, pesa, fursa aliyonayo alipaswa kuwa na studio au kitu chochote ambacho kina brandname yake...

wachambuzi wakwenye vijiwe vya kahawa na bao hampitwi na jambo hata mtu afanye jema gani kwenu kutoa sifa mnaona kama mtapungukiwa kitu muhimu sana mwilin
 

marko chali anatengeneza matangazo mengi sana ya redion kutoka makampuni mengi sana as the same way millard ndio atakachoenda kukifanya.project kama ishi,twaweza ,wanawake na maendeleo haziwezi kufanywa redion isipokua studio kama hizo
 
Sasa hapas diamond anaingiajee?? Aisee wsfuasii wengine bana

Achana nao majinun tu hao, yaani mtu 24/7 kichwani kwake kunazunguka jina la Diamond tu lol! Mnapenda wenyewe kumpa kiki tyuuuu. Hapa anazungumziwa Ayo mtu anakurupuka huko utadhani jini kizaizai anaanza kumtaja diamond! ! Let him breath jamani!
 

Muda mrefu kipindi cha amplifaya kinaruka kutokea hapo huwa anatuma signal clouds na clouds wanapeleka hewani. Kwa hiyo hapo sasa atakuwa anazalisha Content nyingine nyingi na kuzifanyia biashara

Ni hali ya kawaida katika Tasnia ya Ubinifu kuna uhaba wa mahudhui kwa hiyo kwa vijana waelewa wa soko wanajikamilisha ili wafaidike na kazi yao ya ubunifu.
 
Huyu dogo kawakuta wauza sura wanatamba Cloudz Adam Mchomvu,B12 na Fetty n kawapiga bao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…