Hongera Millard Ayo: Afungua Kituo cha kurusha mawimbi ya redio

Ila kama ni kweli anakula Kidoti aache mara 1, anajivunjia heshima kutoka na changudoa
 
Teh Teh ...hakuna hirizi iliyo kamatwa kama kidhibiti kwenye huu uzi?
 
Millard ana akili sana. Anafanya vitu kwa mipango, kwa nini asiwe anamshauri jokate shost wake. Maana jokate linakurupuka likidhani ni sifa. Safi sana Millard ayo, hayo ndiyo maendeleo.

Mh, hivi mwanaume ana ushoshti Na mwanamke?

Kumwambia binadamu mwenzako linakurupuka ,inaonesha jinsi unavyomchukia huyo mtu.

Na huo nao ni uchawi kama wale wauaji Albinos.

Alikukosea nini hadi, unamwambia" linakurupuka likidhani sifa?
 
Zipo nyingi sana
Wanatengeneza vipindi wanaviuza kwa radip na stesheni za Televisheni
mfano PPT ya/na Paschal Mayala
ngoja nikuitie huyu mtu akueleweshe vizur kabisa
Pasco ukuje!!
Kuna mtu anafahamu id ya Ahmed Kipozi (mheshimiwa DC nae ndo khabari zake hizi)
Maria Sarungi Tsehai nae huwa anaandaa vipindi kwa mrengo huu
So Millard big uuuuup dogo!!
Hao wanaosema sijui nini sijui nini wambie wakafanye na wao hizo sijui nini.sijui nini kama ni rahisi kufika hapo ulipofikia!!
Kwa anayewajua hao maguru wa habar i niliowatajai anaweza kuelewa kwann tunampongeza huyu dogo
 
Last edited by a moderator:
Ritz na mafisadi kwa mshahara upi watangazaji wabTanzania anaolipwa hembu dadavueni kwamapana kipindi hichi cha kuelekea uchaguzi tutaona mengi.

Kwahiyo we boya unataka kusema Ritz ndo boss wake Millard? Make ye mwenyewe amenukuliwa baadhi ya sehemu akiwashukuru sana maboss wake Ruge na Joe kwa kumbadilisha kiutendaji wa kazi tofauti na alivyokua mwanzoni huko alikotoka.

Sasa tumuamini nani? Ayo au wewe uliyeko nyuma ya Keybord kwa ID fake?

NB.Kwa mujibu wa Sensa ya kwenye mitandao ya Kijamii inaonyesha hii nchi ina wachawi wengi japo wengi hawajitambui kama ni wachawi. Kuanzia leo kila mchawi nitakuwa namtaarifu uchawi wake ili ajue kipaji chake.

Make Bill Gates ashawaambia watu kuwa ''watu wengi duniani wamekufa masikini kwasababu walishindwa kugundua vipaji vyao''.
Ifike hatua tusaidiane kuonyeshana vipaji vyetu walau tuone kama tunaweza kujikwamua na umasikini wetu. Ndg naanza kwa kukwambia wewe Kuwa ni Mchawi.
 

Nyambafu kabisa hamna jipya hapo usifikirie kwa pua wewe uongo ndio tunaousadiki sasa ungetarajia akuambie kwa msaada wa ..... ili dili libumburuke rudisha pesa ya babako aliyokusomeshea shule we mbulula ukiwa na akili jaribu kuchanganya na maarifa hutapata shida kufikiri.
 

Kipaji chako ni UCHAWI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…