Hongera Millard Ayo: Afungua Kituo cha kurusha mawimbi ya redio

big up toka kwenye sanaa ya maigizo mpaka kumiliki studio hongera sana dogoo nakipenda kipindi kile cha milard ayo cha jion mmh i always listern to that program
 
Mh, hivi mwanaume ana ushoshti Na mwanamke?

Kumwambia binadamu mwenzako linakurupuka ,inaonesha jinsi unavyomchukia huyo mtu.

Na huo nao ni uchawi kama wale wauaji Albinos.

Alikukosea nini hadi, unamwambia" linakurupuka likidhani sifa?

Wewe huwezi kuelewa ulimwengu wa maendeleo. Na inaonesha una uwezo mdogo wa ku reason mambo ya maana, simple logic una penda wachawi
 
Uchawi wako usifikie kuua albino

Acheni unafiki nyie viumbe albino wanauwawa kwenye kisiwa cha Amani huyu ni wa ngapi amekufa katika kifo cha mateso serikali yako ilichukuwa hatua gani ya kuweza kuwalinda hawa binadamu wasiokuwa na hatia kwa kwa ujumla wao wapo wangapi wanaoishi kwenye maeneo hatarishi hela za kuweka uswis zipo ila zakuwajengea mazingira rafiki hawa albino hamna sasa hapo ujipime mimi na wewe nani mchawi.
 
Mimi ndo. Fa mwenyewe vipi kwani??

Stop kiliing albino Jay Jay,wana haki ya kuishi.

Muhimu kuhoji. Kama JK aliweza kuipa THT studio ya kisasa bure kabisa na kuwazawadia uDC waandishi atashindwa kumsaidia Ndugu Millard studio au hata kumchangia pesa kiasi fulani?!

Anaweza tena kwa nia nzuri tu lakini tatizo ni kwa aliyesaidiwa kuficha ukweli kwa kuwa jambo hilo linapelekea kuua ueledi katika kutekeleza majukumu yaani inaleta kujikomba.
 

Hawa punguani wengine wenye utapiamlo wa ubongo wanachekesha sana.

Mtu anayepinga kuamini habari za uchawi kila siku hapa bado katika akili zao zinazoenda kimkundumkundu anaweza kuonekana mchawi.
 
Last edited by a moderator:
Hawa punguani wengine wenye utapiamlo wa ubongo wanachekesha sana.

Mtu anayepinga kuamini habari za uchawi kila siku hapa bado katika akili zao zinazoenda kimkundumkundu anaweza kuonekana mchawi.

Duu hapa kazi ipo. Punguza jazba kidogo mkuu bado tunakuhitaji hapa jukwaani.
 
Duu hapa kazi ipo. Punguza jazba kidogo mkuu bado tunakuhitaji hapa jukwaani.

Jazba iko wapi hapo?

Unaweza kuionesha ilipo jazba na tuekezane pointi kwa pointi jazba ni nini na a legitimate smackdown ni nini?
 
Hawa punguani wengine wenye utapiamlo wa ubongo wanachekesha sana.

Mtu anayepinga kuamini habari za uchawi kila siku hapa bado katika akili zao zinazoenda kimkundumkundu anaweza kuonekana mchawi.

Hahaha kuna watu umu hawawezi kufikiri kabisa lakini hawajui kama hawawezi kufikiri. Matokeo yake wanadhani dawa ni kujaribu ku-control mawazo ya wenzao haswa wasiyopenda kuyasikia.
 
Jazba iko wapi hapo?

Unaweza kuionesha ilipo jazba na tuekezane pointi kwa pointi jazba ni nini na a legitimate smackdown ni nini?

Jazba imejidhihirisha ktk matumizi ya offensive words mkuu.
 
Jazba imejidhihirisha ktk matumizi ya offensive words mkuu.

Offensive kwa nani?

Kama wewe ni kichwapanzi unaekuwa easily offended na maneno yanayoelezea direction tu na kuyaona ni jazba, mwenye jazba ni nani hapa? Mimi ninayeelezea direction with a touch of poetry au wewe unayeona jazba sehemu ambayo haipo?

Kuon jazba sehemu ambayo haipo ni jazba pia.
 
Wewe huwezi kuelewa ulimwengu wa maendeleo. Na inaonesha una uwezo mdogo wa ku reason mambo ya maana, simple logic una penda wachawi

Teh Teh Mkuu zinc umenikumbusha ile thread uliyo sema kuna msanii alipasua yai katikati ya ziwa victoria...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…