MKUDE SIMBA
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 305
- 167
Anaandika Edson Mshumbusi.
MISS TANZANIA 2016
JINA: Diana Edward Lukumai
UMRI: Miaka 18
ELIMU: Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
Darasa la kwanza akiwa na miaka 2.
Ingawa sio shabiki sana wa mambo ya urembo napenda nichukue fursa hii kuwapongeza wazazi wa Diana na wazazi wengine ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na umri kama huo.!
Alamsiki
MISS TANZANIA 2016
JINA: Diana Edward Lukumai
UMRI: Miaka 18
ELIMU: Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
Darasa la kwanza akiwa na miaka 2.
Ingawa sio shabiki sana wa mambo ya urembo napenda nichukue fursa hii kuwapongeza wazazi wa Diana na wazazi wengine ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na umri kama huo.!
Alamsiki