MKUDE SIMBA
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 305
- 167
[/URL] Tafadhali naomba nipaye majibu kwa wanaosema Miss huyu ana degree. Cheki hii video dk 8. Utajua namaanisha nini. Hapo ilikiwa Miss Kinondoni sep 2016.Anaandika Edson Mshumbusi.
MISS TANZANIA 2016
JINA: Diana Edward Lukumai
UMRI: Miaka 18
ELIMU: Shahada(degree)
Hii ina maana;
Alianza Chuo akiwa na miaka 15
Alianza Form one akiwa na miaka 9
Darasa la kwanza akiwa na miaka 2.
Ingawa sio shabiki sana wa mambo ya urembo napenda nichukue fursa hii kuwapongeza wazazi wa Diana na wazazi wengine ambao watoto wao wameanza shule ya msingi wakiwa na umri kama huo.!
Alamsiki
Ushamdharau una uhakika hii taarifa iliyoletwa hapa ni sahihi ? Au ndio hamtaki kuumiza ubongo kwa kufuatilia mambo kabla ya kutoa hukumuHahahahhahahha. ..hivi kwa nin usiseme ukweli looooohhhh.....ukiwa muongo uwe na kumbukumbu na mahesabu makali,nshamdharau huyu dada