Bundakwetu
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 551
- 1,014
Huwa nasikia habari ya chumvi kuwa Ni Tiba.chumvi ni kiboko ya njia
[emoji1545] Bundakwetu [emoji817][emoji818] hiyo ya pili tiba yake ni hiyo ya kwanza [emoji23]Napenda sana uandishi wako na uwasilishaji wa nyuzi zako hakika umestahili kuibuka mshindi katika Jukwaa hili nina mengi ambayo nimejifunza kupitia nyuzi zako, hasa tiba ya Chumvi hongera sana ila nipe mbinu ya kumiliki pesa na kujikinga na wachawi[emoji23][emoji23]
Tiba nzuri sana ndio maana vijana huwa wakikataliwa na mademu ana akipata mikosi hushauriwa akaogee maji ya bahari [emoji3]Huwa nasikia habari ya chumvi kuwa Ni Tiba.
Mimi huwa na tabia ya kuogelea maji ya bahari karibia kila siku coz nafanya mazoezi ufukwe wa bahari ya Hindi kila asubuhi. Chumvi ya bahari ni tiba?
Mshana Jr
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mkuu Mshana Jr,[emoji1545] Bundakwetu [emoji817][emoji818] hiyo ya pili tiba yake ni hiyo ya kwanza [emoji23]
Karibu bila shaka ila PM kwasasa imezingua kwa simu sawaMkuu Mshana Jr,
Naomba kuongea na wewe jambo binafsi kwa njia ya simu / PM tafadhali.
Utakapokuwa na nafasi huru, naomba unitext kwa namba hii tafadhali 0744kisha nitakupigia MkuuKaribu bila shaka ila PM kwasasa imezingua kwa simu sawa
Uliponianzishia Thread kama hivi ( ya huyu ) Majuha ( Fools ) haraka sana walikushambulia kuwa hii ID yako ni yangu ( yaani ni Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe ) na kwamba Nina IDs Milioni hapa JamiiForums.Napenda sana uandishi wako na uwasilishaji wa nyuzi zako hakika umestahili kuibuka mshindi katika Jukwaa hili nina mengi ambayo nimejifunza kupitia nyuzi zako, hasa tiba ya Chumvi hongera sana ila nipe mbinu ya kumiliki pesa na kujikinga na wachawi😂😂
PouwaUtakapokuwa na nafasi huru, naomba unitext kwa namba hii tafadhali 0744 718 928 kisha nitakupigia Mkuu
Achana nao wivi unawasumbua mkuuUliponianzishia Thread kama hivi ( ya huyu ) Majuha ( Fools ) haraka sana walikushambulia kuwa hii ID yako ni yangu ( yaani ni Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe ) na kwamba Nina IDs Milioni hapa JamiiForums.
Mbona hapa kwa Mshana Jr hujashambuliwa nao na hawasemi kuwa Wewe ni Yeye Mshana Jr na kwamba Kajianzishia Thread ili kutafuta Sifa na Umaarufu?
Haya akina OKW BOBAN SUNZU na Wenzako mbona hamjitokezi katika Uzi huu na kusema kuwa huyu Bundakwetu ni Mshana Jr ila Kwangu GENTAMYCINE upesi sana mliibuka kusema hilo?
Wapuuzi wakubwa nyie mtaalaanika.