yitzhak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 616
- 853
Wengi tulimuonya mo kuwa aache kufanya njia za kihuni kwa kutaka kuimiliki Simba kilazima kwa kuandika check kubwa tofauti na uhalisia kwenda kwenye club ili baadae aje aichukue Simba kwa njia za kihuni
Tunajua alikuwa akitumia wanasiasa tena wengine viongozi serkalini kutaka kutumia njia haramu kuitaifisha club
Nampongeza mwenyekiti wa Simba ndugu nkwambi kushtukia kuwa anaingizwa mkenge na mo pamoja na kibaraka wa mo fisadi magori
Wengi walikuwa wanamuona Mzee kilomoni kama mropokaji hawajui yule ni mtumishi wa serkali anasimamia maslahi ya wananchi na serkali
Tulimuonya Mo kuwa kwa huu ujanja ujanja wako kwa Simba utaondoka kwa aibu
Tulishasema kuwa Mo acha uhuni kama kweli unataka kuwekeza Simba fuata kanuni
Tunaendelea kukushauri acha kujifanya innocent unapokuwa unaongea na waandishi wa habari huku nyuma ya pazia unawatisha watu
Fuata kanuni uwekeze Simba acha kutumia mashsbiki mbumbumbu kupata huruma hiyo haitakusaidia sheria haiitaji huruma
S
Tunajua alikuwa akitumia wanasiasa tena wengine viongozi serkalini kutaka kutumia njia haramu kuitaifisha club
Nampongeza mwenyekiti wa Simba ndugu nkwambi kushtukia kuwa anaingizwa mkenge na mo pamoja na kibaraka wa mo fisadi magori
Wengi walikuwa wanamuona Mzee kilomoni kama mropokaji hawajui yule ni mtumishi wa serkali anasimamia maslahi ya wananchi na serkali
Tulimuonya Mo kuwa kwa huu ujanja ujanja wako kwa Simba utaondoka kwa aibu
Tulishasema kuwa Mo acha uhuni kama kweli unataka kuwekeza Simba fuata kanuni
Tunaendelea kukushauri acha kujifanya innocent unapokuwa unaongea na waandishi wa habari huku nyuma ya pazia unawatisha watu
Fuata kanuni uwekeze Simba acha kutumia mashsbiki mbumbumbu kupata huruma hiyo haitakusaidia sheria haiitaji huruma
S