Utajiri wa MO ni sh ngapi na yale majengo ya old fashion ni sh ngapi? Mo anataka kujua mali za simba coz hizo 50% za hisa ni mali sasa je hizo mali ziko wapi? Mnataka yy aweke ela je nyie mnaweka nn?
Huýo mzee hawamuweziKapanda DEFENDER mbele na KIPEPSI kaweka.... Dk5 tu... Huyu hapa karudi....!
Simba brand .....Ni mtaji tosha
Mo anawatumia mashabiki mbumbumbu kama weweHivi huyu mzee anataka ni kwani...
Twende na Kilomoni hakuna ujanjaujanja hapa, mzee bakhresa alitaka kuwekeza 50bn, akamkatizia mbele.
Huo ni wivu wa kishamba kwani mo amekuwa na timu kwa miaka mingap? Hiyo miaka mingine timu ilikuwa chini ya nani? Mpaka makao makuu ya club kulikuwa hakuna umeme
Uzuri waswahili wote wakina Kilomoni ni njaa tupu uwezo wa kununua hisa hawana bado Mo na familia yake watagawana hizo hisa 49% tuona Mwakyembe anakuja na lipi tena
Lakini MO aliwahi kuwekeza African Lyon akashindwa, akaidhamini Singida united akashindwa kwa kuwa hizi hazina majengo. Sasa kawekeza Simba ataweza? Au anataka tu hati ya jengo akopee benki? Mi naona waziri yuko sahihi wawekezaji wawe zaidi ya watatu.
Utajiri wa MO ni sh ngapi na yale majengo ya old fashion ni sh ngapi? Mo anataka kujua mali za simba coz hizo 50% za hisa ni mali sasa je hizo mali ziko wapi? Mnataka yy aweke ela je nyie mnaweka nn?
Nyie ndio hua mnafanya watu wawe maskini wa mawazo, brand hata uwanja haina? Brand makao makuu hata umeme hakuna? Unajua brand ww? Brand gani jezi yote ina jina la azam tu?
Mwanasheria magumashi aliyekana japisho lake.Mwakyembe ni mwanasheria yule hajakurupuka
Acha mashabiki wasiolewa wapige kelele