Kila nikikumbuka miaka tuliosota kwa kejeli bila ubingwa,sijui serikali ilikuwa wapi,sijui huyo aliotaka kuweka bilion 50 ( kwa mujibu wa reply nilizoona)alikuwa wapi,sijui hao wanaoitakia mema club walikuwa wapi? Mo kuingia TU,kombe miaka miwili,na robo fainali Africa! Timu imeng'aa Mara Mo kawa mwizi [emoji31] Mo kawa anaitumia club ili afaidike[emoji31][emoji26] Watz tuna roho za kichawi Sana! I wish Mo aondoke tuone!